FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,191
Dr. Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha jioni hii nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuli kuwania Urais.
Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuri ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa.
Chanzo: Radio five, Arusha
= Magufuli
Kwanza Daktari wa kanoni Padri babu Dr.W.Slaa atueleze jumba la kifahari aliyomjengea hawara yake Josefina kule mabwepande alilijengaje? kwa fedha zipi? akielezea hilo tukaridhika labda na maelezo yake, ndiyo tutamuelewa ya Magufuli.
Isitoshe, nikisoma hapo juu nnaona kuwa babu kisha kata tamaa ya kuwa anaweza kuinusa Ikulu.
Last edited by a moderator: