Kaza buti dogo, Shule ya SUA si lelemama!!!!. Kama ungetaka ubwete unge-apply-IFM na vyuo vingine. SUA inafahamika na hata wenye nywele nyeupe.......acha mchezo dogo, kula kitabu kisawasawa.....
Hivi huyu mwanamuziki wa Bongoflava... NEy wa Mitego aliyeimba "Makahaba wenye viwango wako Bongo Movie" alikosea au aliwaonea wasanii wa Bongo Movie? Nafikiri ni vyema tukatafakari kuhusu suala hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.