O-man
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 323
- 65
Hi karibuni nilifuatwa na madalali wa nyumba wakiambatana na dalali mwingine mwenye kampuni na 'offer' nono ajabu.
Anachotakiwa mwenye nyumba afanye makubaliana ya awali na huyu dalali kabla kuonana na huyo mbia. Baada ya kudadisi sana nikaambiwa kwamba:
1. Lazima kwanza nyumba hiyo niikabidhi kwa huyo mbia abadilishe hati iwe kwa jina la kampuni hiyo.
2. Iwapo mwenye nyumba anaishi katika nyumba husika, basi atapewa pesa isiyopungua sh. 500m/- kupisha ujenzi wa ghorofa 8 - 10 kwa muda usiozidi mwaka mmoja.
Hayo ni machache kati ya mengi niliyoelezwa na huyo dalali. Nimejiuliza maswali mengi nakosa majibu. Sasa wakuu, naomba mnijuze kuhusu hili jambo.
Anachotakiwa mwenye nyumba afanye makubaliana ya awali na huyu dalali kabla kuonana na huyo mbia. Baada ya kudadisi sana nikaambiwa kwamba:
1. Lazima kwanza nyumba hiyo niikabidhi kwa huyo mbia abadilishe hati iwe kwa jina la kampuni hiyo.
2. Iwapo mwenye nyumba anaishi katika nyumba husika, basi atapewa pesa isiyopungua sh. 500m/- kupisha ujenzi wa ghorofa 8 - 10 kwa muda usiozidi mwaka mmoja.
Hayo ni machache kati ya mengi niliyoelezwa na huyo dalali. Nimejiuliza maswali mengi nakosa majibu. Sasa wakuu, naomba mnijuze kuhusu hili jambo.