iJamii
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 1,954
- 1,503
mpaka sasa washindi wa milion 100 hawazidi watatu.
Kwani huyo wa 2 na 3 wamepatikana lini maana siku zote nnajua baada ya yule waliyetuzugisha wa kutoa iringa hajapatikana yeyote mpaka sasa
mpaka sasa washindi wa milion 100 hawazidi watatu.
Hao Voda ni waongo ni matapeli, mdogo wangu walimdanganya walimpigia cm kuwa alishinda miliono100 lkn hadi sasa wanamzungusha wanamdhalilisha tu police,mahakamani kisutu walimpeleka kwa ajili ya kuapa.Wanamdanganya kila siku akiwepo Zembwela ambaye ndiye balozi wao vodacom kwa ile promotion, lkn nimepanga hadi ikifika 25/04 tutaenda mahakamani,kwanza tutaanzia ktk vyombo vya habari,kwanza ushahidi wa kwanza upo ktk vyombo vya habari cos walimtangaza kuwa yeye ni mshindi wa pili wa vodacom tangu february, hadi hii leo ile card yake ya ATM hawataki kumkabidhi na wakati wao wenyewe walimwambia afungue account.
Nani alishapewa hizo pesa ajitokeze hapa utukwelishe!?
na kati yao hakuna aliyepewa m100!
Useless kabisa. Sijui hawana marketing strategists au niaje!! Yani katika matangazo ovyo lile ni numer uno.
Hili tangazo la Jmilions linadanganya watu kwa kusema mamilion 100 kutolewa kila siku
TCRA zuieni haya matangazo\uongo.
beibby godoro ulioleta sio kabisaaaa
HAPO HATA MUME WAKE HAJAINGIA NALO NDANI KASHAJUA HALINA CHAPA YA GODORO ALITKALO
USELESSSSS TANGAZO
Nimeliangalia hili tangazo kwakweli bado sijapata tafsiri, chumvi ipo kwa pembeni hapoView attachment 243775
Na huyu naye anavunja yai kwa meno au ndio anakula hapo?
huyu nae.. Fuata maelekezo..
Sijawahi kuona matangazo ya kijinga kama ya Qfl godoro Dodoma....huwa nabadili channel nikiyaona....pmbav kabisa shenz zao
Kwa hiyo umeacha kufanya kazi unasubiria jaymilions???
kuna hilo linaoneshwa siku hizi kuna akina dada kibao........linaboa vibaya mno.
Hata we unaependa akina dada limekuboa? Basi linaboa ukweli
In fact matangazo mengi tu yana kasoro.....ndo maana yanaitwa matangazo...NOT REAL
Nimeliangalia hili tangazo kwakweli bado sijapata tafsiri, chumvi ipo kwa pembeni hapo