UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,517
- 7,719
Naona mnataja tu PGM, PCM, PCB; mbona sioni mtu ametaja RPG? Nadhani hiyo ndo ngumu kuliko zote. Kwi kwi kwi!
acha utan,,,,,,,unacheza na ,,,,,,,hkl,,,,lol
wadau nadhan weng mmemaliza f6 na wengi humu hata hamkufikiria kuigusa pgm mana mlijua ni kombi kiboko hivi had saiz kuna kombi ngum kama pgm n.b nimepiga eca koabi rahc WADAU NAITAJI FEEDBACK
kombi ndio kitu gani??
na pgm bdo nini?
huo ndo ukwel ila kwa wengine ni rahisiMkuu nyasiro unatisha.., khaa!
hkl n mwisho!!
We Pimbi kweli.... Kozi za kike hizo, unasema ngumu!!!!!!!!!!!!!
kwa hiyo za kike haziwezi kuwa ngumu?
Hivi mkizungo ulikunywa chai kabla ya kutoa hii comment? maana naona comment yenyewe haina kichwa wala miguu.
Wewe,hakunaga kitu kama hicho,mtu wa PCM kusoma HGK inawezekana lakini mtu wa HGK hawezi gusa PCM,sio tu kwamba atataga bali atakufa.kombi yoyote ambayo siyo kipaumbele chako ni ngum. kwa mtu anayependa PCM, ukimpeleka HGK, anaweza taga