Recent content by Shinoga

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na tabia hizi, jiandae kuwa middle class na kuteseka ki uchumi!

    Career? Which career? Dont forget that making money is also sort of career. Usidanganyike, buffet alinunua hisa yake ya kwanza(alianza kufanya biashara) akiwa na miaka 14. Na anasema anajutia sana coz alichelewa, anasema anatamani angeanza mapema zaidi coz angekuwa mbali zaidi
  2. S

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na tabia hizi, jiandae kuwa middle class na kuteseka ki uchumi!

    Career? Which career? Dont forget that making money is also sort of career
  3. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba

    Dr. Kitila ni opportunist mbaya sana. Huku kujiunga na zitto ni kwa maslahi ya kifedha tu. ni huyu huyu mkumbo aliyetusaliti mambo mengi tulipokuwa udsm yeye akiwa rais wa daruso, kumbe alishaahidiwa ajira na akina prof. Luhanga. Alivyomaliza akaajiriwa na chuo tena bila kufikisha GPA ya 3.8...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kamishna Ernest Mangu ateuliwa kuwa IGP mpya

    Sasa naanza kuamini kwamba jamaa ni mdini, yani miaka yote IGP ni muislam. Safari hii kateua mkristo, eti katengeneza na cheo cha naibu IGP ambaye ni muislamu
  5. S

    JamiiForums Tanzania Yanga yamtimua kocha wake Ernie Brandts

    we kweli mburura, hivi 2 na 3 ni 'sababu' za yanga kunufaika
  6. S

    JamiiForums Tanzania Sudani Kusini, Somalia zaomba uanachama Jumuiya EAC

    Tatizo hili lijumuiya halina vigezo maalumu vya kujiunga, kila mtu anajiunga tuu. nilisikia wakati fulani hata congo nao wanataka. Sio kwa sababu uko afrika mashariki kijiografia una sifa za kujiunga na EAC. kama ni hivo basi nchi zote za ulaya zingekuwa kwenye EU, lakini kuna vigezo...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Nape: Gazeti la Mtanzania wamepotosha kuhusu kauli yangu!

    Killa mtu anajua how ageist you are! Mara kadhaa humu unamuita dr. Slaa "babu" uki imply kwamba mapungufu yake (kama unavyofikiria wewe) yanatokana na "uzee" wake na si kinginecho. Ukumbuke kwamba Ubaguzi wa aina yoyote ile ni moja ya disqualification kubwa za uongozi wa kisiasa, hii ni kwa...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Tendwa: Kwa hili la Red Brigade, Nitaifuta CHADEMA!

    Hiivi Jaji Liundi bado yulko hai?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tamko la Rais Kikwete juu ya Tukio la Arusha

    Hivi ni coincidence au??? alipouawa father Mushi/au kujeruhiwa father Mkenda(naomba kusaidiwa), JK alikuwa ziarani Oman, haya ya Arusha yuko Kuwait. ???????
  10. S

    JamiiForums Tanzania Uvimbe kwenye dhakari

    Nina uvimbe kwenye dhakari (mboo) upande wa chini karibu na shina la mboo. hauumi, ni kama kigololi kinacheza cheza ukikishika. kilianza kidogo sana lakini naona kila siku zikisogea kinazidi kukukua. Naomba msaaada wenu na ushari
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Nyama zakosa wanunuzi machinjioni!

  12. S

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Nyama zakosa wanunuzi machinjioni!

    Zanzibar wakafanye nini huko, hakuna ishu
  13. S

    JamiiForums Tanzania Wapalestina wanatumika kisiasa?

    Huwa najiuliza hivi ni kwa nini wapalestina(waarabu) walikataa azimio la umoja wa mataifa la 1948 lililogawa 'palestina' kuwa mataifa mawili (israel ya wayahudi na palestina ya waarabu)? Nikiangalia ramani ya partitioning ile naona wapalestina walifanya makosa makubwa sana kukataa azimio lile...
  14. S

    JamiiForums Tanzania 22 wafukuzwa Nyegezi Seminary kwa tuhuma za ushoga

    Infact siku hizi si lazima kusoma seminary ili uwe padri. Kuna watu wengi tu wanakuwa mapadre bila kupitia seminari
  15. S

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi Ardhi University waandamana kupinga kuzuiwa kuvaa nguo fupi, kubana

    Hiyo ni mikakati ya wahabbi, kuweni macho wame infiltrate kila taasisi hapa Tz
Back
Top Bottom