Ukiwa na tabia hizi, jiandae kuwa middle class na kuteseka ki uchumi!

For your information! The richest investor in the world Warren Buffet alianza kujenga nyumba yake before hajaanza biashara alikuwa ameajiliwa wakati huo.
Nawashauri vijana in their 20's to build their career rather than entering into debts.

Career? Which career? Dont forget that making money is also sort of career
 
For your information! The richest investor in the world Warren Buffet alianza kujenga nyumba yake before hajaanza biashara alikuwa ameajiliwa wakati huo.
Nawashauri vijana in their 20's to build their career rather than entering into debts.

Career? Which career? Dont forget that making money is also sort of career. Usidanganyike, buffet alinunua hisa yake ya kwanza(alianza kufanya biashara) akiwa na miaka 14. Na anasema anajutia sana coz alichelewa, anasema anatamani angeanza mapema zaidi coz angekuwa mbali zaidi
 
Career? Which career? Dont forget that making money is also sort of career
Business ni career pia, all anasema usikomae na kutaka kutoka kibiashara hata kwa mikopo ukiogopa kujenga eti hakuna faida as ukijenga utaishi mwenyewe in your house so hutagain hela, japo in reality hutalose pia.
 
Huo ni ukweli mtupu, mfano wewe unatumia milioni 60 kujenga nyumba ndani ya miaka 4, ukimaliza hiyo nyumba haizalishi chichote, unaishi mwenyewe, vipi kama hiyo 60 kama ungewekeza mfano kwenye ufugaji wa kuku, kama uko serious hao kuku wangekupa hata milioni 4 kwa mwezi na ukajenga kirahisi

Hiyo nyumba ya 60mil sio collateral ya kukupa 100m na kufanya biashara kubwa zaidi ya 60m?
 
Wadau, hasa vijana wenzangu,

Ushauri kwa vijana wenzangu. Ukiona wewe kwanza ndiyo umepata kazi, ukaanza kwa kununua gari la kutembelea, baada ya hapo ukanunua kiwanja na ukaanza kujenga ujue wewe utaishia kuwa middle class na kuteseka ki uchumi katika maisha yako yote. Ninaposema kuteseka ki uchumi namaanisha kila ikihitajika laki moja wewe kuitoa mpaka ukope au ukitoa unaishiwa. Vijana wengi wanapenda kuishi maisha ya luxury wakati hawana sifa ya kuwa na luxury, unakuta ndani kwake kajaza vifaa expensive wakati hana rasilimali ya kumpa kipato, wengi wanafanya hivyo ili waonekane wako na maisha safi kwa jamii, kumbe wanajichimbia kaburi

Asilimia kubwa ya middle class walieanza kwa ku invest kwenye mambo yasiyozalisha, mfano nyumba ya kuishi mwenyewe au gari, ukianza, ukianza kwa kujenga nyumba ya kuishi wewe ndio mbaya kabisa. Watu tunaowaita matajiri, walianza kwa ku invest kwenye kitu kinachozalisha pesa then gari la kutembelea, nyumba vikaja baadae. Huo ni ushauri wangu kwa vijana wenzangu

BAADA YA KUONA SIELEWEKI, NIMEONA NIWAPE MFANO HUU.

Hapa Tanzania, Wahindi wamekuwa waoga kujenga Tanzania kwa hofu kuwa labda hapa si kwao. Wahindi wanaishi National Housing kwa kupanga, ni mabillionaire, wameshika uchumi wa nchi hii, hawatishwi na kodi za nyumba, mfano kwa Arusha wanalipa kodi hadi 1.5m kwa mwezi kwa nyumba ambazo si national housing huko Arusha.
Sasa vipi wewe Mtanzania ungeanza na biashara then Nyumba?

one of very few new JF members wanaofaa kuwafuatilia

i definitely like you views

we need more members like you
 
Hiyo nyumba ya 60mil sio collateral ya kukupa 100m na kufanya biashara kubwa zaidi ya 60m?

collateral hazidi 80% ya value ya property yako tena kwa valuation ya forced sale value, kwahiyo nyumba ya 60M unaweza kuambiwa ina thamani ya 35M

then wanakupa 80% of 35M na jaribu kufikiria, almost 50% ya value inakua haina maana hapo kwenye mkopo
 
I know capitalism, kama navojua kuwa katika capitalism si kila ambaye hakujenga ni succesful...

hahahaaa,

lost in translation

unajua capitalism wewe, kama ndio then huwezi kuweka kujenga kuwa factor kabisa ya success au failure... in fact sio indictor
 
Huu Uzi una mafunzo sana hizi theories nzuri sana za maisha fainali mtaaani , I think binadamu tumetofautiana malengo kuna wengine achievement Yao maishani ni kununua gari basi au mwingine kujenga mwingine Kuwa billionaire na mwingine ili mradi tu ana kazi na anasibiri pensheni ili aishi vizuri wote humu wametoa points nzuri kwa watu wa aina zote sidhani Kama kuna mtu kapatia zaidi ya mwenzie nafikiri jibu Zuri linategemeana na malengo yako we mwenyewe kwenye maisha ni hayo tu
 
Napinga hii. Hivi kati ya kijana anayeanza maisha kwenye nyumba yake na yule anayetumia malaki/mamilioni ya shilingi kulipa kodi kila mwaka nani yupo kwenye nafasi nzuri kiuchumi? By the way nyumba/kiwanja ni asset ya maana kuliko hata mtaji/hisa kwa sababu thamani yake ni madhubuti na haitetereki na huweza kutumika miaka mingi baadae kwa sababu ni dhamana yenye kuaminika. Kuhusu vitu kama gari, inategemea mtu ananunua kwa nini na ni gari aina gani. Gari ni kitu gani zama hizi tulizopo? Wapo watu ambao gari ni kiuongo muhimu kabisa katika pilika zao za kila siku. Mafanikio ni jinsi unavyozichanga karata zako sio umeanza kununua nini unapoanza maisha. Wazee wangapi tunawaona wanatumia viinua mgongo kujenga.
 
Nakuunga mkono mleta mada sasa unakuta mtu ana take home ya 900,000/=, anaenda bank anachukua mkopo 15,000,000/= makato ya bank 400,000/=, kwa miaka 4 anaanza kujenga nyumba ! wakati hiyo milioni15 angeanzisha mradi ingeweza kumletea faida kubwa sana ambayo inaweza kuzidi hata millioni 25
 
Rich people buy income generating assets,middle class buy Liabilities thinking they are Assets(eg.cars,exp television set,bling bling etc),poor people live in debts.Je uko wapi kijana mwenzangu?

mimi sijui niko wapi maanake nina income generating assets,Liabilities kibao as u said cars,tv,bling bling and some few debts!!!!!!!DAMN!!!!
 
Hivi wewe mwandishi ni lini na wapi umewahi kusikia baba mwenye gari? Hapa duniani kuna baba mwenye nyumba tu
 
Unatakiwa ukae miaka mingapi kazini ndio ununue gari na ujenge nyumba mkuu?

labda la muhimu mwambie Dont ove E.X.P.E.C.T..... kuna 'gari' na GARI pia kuna 'nyumba' na nyumba inategemea ni gari gani na nyumba gani pia income yako.....labda una annual salary kama HASHEEM THABEET utashindwa kufanya hayo ndani ya miezi miwili achilia mbali miaka miwili.

BTW at 27 two years work.....umejitahidi.
 
umeona eeh!! kuna watu kwanza mshahara wao mwezi mmoja tu ni gharama ya vitz mpya. kwanini asijivutie zake usafiri huku anajipanga zaidi na life.
Mkuu hebu kwanza niweke sawa hiyo Vitz mpya una maanisha brand new au ndiyo yale yaliyotumika km kadhaa na wenzetu huko mbele?
Nijuavyo mimi kutokana na vipato vya Watanzania walio wengi; ni wachache sana wanaoweza kununua gari mpya zaidi tunakimbilia kwenye used/reconditioned/second hand.
Ushauri ni mzuri ila siyo kanuni lazima iwe hivyo anavyosema na unaweza kufata hivyo na bado ikala kwako mazima na unaweza ukaenda tofauti na ukawa kila siku meno 32 nje na ukawa unamiliki vitu mpaka wafanyakazi,wapambe, na hadi viongozi kukushobokea.
 
Mkuu hebu kwanza niweke sawa hiyo Vitz mpya una maanisha brand new au ndiyo yale yaliyotumika km kadhaa na wenzetu huko mbele?
Nijuavyo mimi kutokana na vipato vya Watanzania walio wengi; ni wachache sana wanaoweza kununua gari mpya zaidi tunakimbilia kwenye used/reconditioned/second hand.
Ushauri ni mzuri ila siyo kanuni lazima iwe hivyo anavyosema na unaweza kufata hivyo na bado ikala kwako mazima na unaweza ukaenda tofauti na ukawa kila siku meno 32 nje na ukawa unamiliki vitu mpaka wafanyakazi,wapambe, na hadi viongozi kukushobokea.

kwetu used ni ile iliyotumika ndani ya nchi, ikitoka majuu hyo mpya tehetehe!
 
sidhani kama kuna ukweli, maisha ni kujipanga na kupanga ni kuchagua. nyumba na gari nayo ni mahitaji ya msingi sana tu ya kuanza nayo kama hukuwa navyo na haijalishi ununue vya kwanza au vya mwisho, jitihada binafsi ndio muhimu zaidi

Ndaga fijo baba.....
 
maisha hayana formular. mbona wapo walioanza na biashara na matokeo yake biashara zimekufa na nyumba za kuishi hawana. hii kitu haina guarantee bali ni wewe mwenyewe utakavyojipanga kukabiliana na maisha.[/QUOTE]
Wapo wengi sana ktk jamii zetu. Inabaki kuwa historia tu. Utasikia mtu akisema eti zamani nilikuwa na hela wakati hata kibanda cha nyasi hajajenga.
 
Back
Top Bottom