Recent content by shine G

  1. shine G

    I can't love

    Pole sana kaka,yupo wako hajatambuana tu
  2. shine G

    Karibia kila mwanamke anajiuza na kila mwanaume analipia ngono

    kuuza mwili na wanaume tofautitofauti afu kuuza mwili na mpenz mmoja.mh,labda sijajua bado maana ya neno kujiuza aisee!
  3. shine G

    Naepuka lawama

    Nimeumia mpaka mchoz,ivi kwann kama unampenda mama aliyekuleta dunian hamthamin mwanamke uliyempa mimba,unamwambia toa mimba,mtoto siyo wangu,mimba siyo yangu.Ninachomshukuru Mungu majinja inapotokea inaenda sana na wanaume na kuacha watoto
  4. shine G

    Huwezi pata kila kitu maishani

    kweli kaka ,huwez pata kila kitu hata uweje
  5. shine G

    Ushauri tafadhali, aliniambia ana ujauzito wangu nilimkataa

    Mnachotufanyia laana itawatafuna sana
  6. shine G

    Tuache tabia za kutafuta wake za watu

    kiujumla dhambi ni mbaya sana.Huwaga matokeo yake siyo mazuri
  7. shine G

    Kwanini watu huoga baada ya kujamiiana?

    kuondoa harufu ya hawa na adamu
  8. shine G

    Ushauri: Nina maumbile madogo ya uume

    pole kaka,ila dawa zipo embu ngoja mshana awasili au mzizi mkavu.mbona huna tatizo
  9. shine G

    Natishia kutengwa kisa mke wa Sumbawanga

    hata mwez mngeoana tu,mengine tabia ya mtu.Waulize waliochunguzana kuanzia mwaka Afu wakafunga ndoa kama wote ndoa ni tulivu au kwann wameachana.oa tu baba
  10. shine G

    'Umalaya' husababishwa na nini?

    1nyege 2 pesa 3kutafuta mwenye mashine tata4 kutafuta mahandsome na onyinyez@wanaoongoza hakuna coz haibagui dini,kaz,mtu,wala kabila
  11. shine G

    Kupendwa na wanawake, je ni u 'handsome' au?

    tunasimliana ivo kila mtu anataka aonje au test
  12. shine G

    Mke wangu ananiumiza kichwa

    Aisee,ndoa ngumu balaa
Back
Top Bottom