Nimeumia mpaka mchoz,ivi kwann kama unampenda mama aliyekuleta dunian hamthamin mwanamke uliyempa mimba,unamwambia toa mimba,mtoto siyo wangu,mimba siyo yangu.Ninachomshukuru Mungu majinja inapotokea inaenda sana na wanaume na kuacha watoto
hata mwez mngeoana tu,mengine tabia ya mtu.Waulize waliochunguzana kuanzia mwaka Afu wakafunga ndoa kama wote ndoa ni tulivu au kwann wameachana.oa tu baba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.