JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Naepuka lawama
Nimeumia mpaka mchoz,ivi kwann kama unampenda mama aliyekuleta dunian hamthamin mwanamke uliyempa mimba,unamwambia toa mimba,mtoto siyo wangu,mimba siyo yangu.Ninachomshukuru Mungu majinja inapotokea inaenda sana na wanaume na kuacha watoto