Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Kaa mbali nao, watapatana tu.
Matatizo yamekuzidi Yes! Kwa kuwa una laana weweNakumbuka miaka ya nyuma
Nilipopokea barua kutoka kwa mama,akinipa malalamiko yake
Kwamba Yupo mbali na Baba!
Kwa uchungu niijibu barua ya Mama,
Ya kwamba nitajaribu kuwasuluhisha
Lakini hilo lilinishinda
Leo,nawaeleza muelewe jamani
Sitaki mnilaumu mie mwenzenu,
MATATIZO YAMENIZIDI UMRI!!
Mtoto mwenyewe wa kwanza kutukana wenzie huku Jf sasa acha yamkute tuPole ndugu, issues za wazazi wenye migogoro ni ngumu sana. Mungu akupe busara na hekima katika kutatua matatizo ya wazazi wako.
Tunasubiri full story.
....hahahahahahahaha....hilo songi la wana Nginde!..kamuulize mamaako,kikojozi kama wewe huwezi lijua!Matatizo yamekuzidi Yes! Kwa kuwa una laana wewe
Na ww pia kwani umezaliwa na chura nyoko weweeee....hahahahahahahaha....hilo songi la wana Nginde!..kamuulize mamaako,kikojozi kama wewe huwezi lijua!
....R.I.P
...R.I.PNa ww pia kwani umezaliwa na chura nyoko weweeee
I love youMtetee mama, tena umpiganie haswa awe salama. Mama anatakiwa kulindwa kwa nguvu zote; UTAOMBA RADHI BAADAE KWA BABA HASIRA ZIKIPOA, ila mama yupo salama kuliko umwache mama akiaibishwa na kuvuliwa nguo mbele ya halaiki. Mpiganie mama kwani yeye ndo anajua uchungu wako, ulikuwa ukirusha vipi miguu tumboni, ulikuwa unakula vipi ulipo kuwa tumboni. Acha masikhara ndugu, MAMA YANGU NITAMLINDA KWA GHALAMA YOYOTE, nampenda sana MAMA YANGU.
Wewe choko kweli wewe, sasa ndio umeandika upuuzi gani hapaUgomvi wa baba na mama,siwezi kuingilia kwa sababu ningali mdogo,wapo wazee,majirani na ndugu watakaosuluhisha!
Ingawa rafiki zangu wananilaumu,eti siwajali wazazi wangu tena siwajali kwa shida na mambo yao,sio kweli mimi nasema,ukweli ninao mwenyewe.
NITAWAELEZA;
Hata kama baba ndie mwenye kosa nifanye nini, hata kama mama ndie mwenye kosa niamueje mie! Nisije kosa radhi ya baba nisije kosa radhi ya mama!
[HASHTAG]#Naepuka[/HASHTAG] Lawama,naepuka lawama,miimi sio mtoto wa upande mmoja, nisimame upande gani mwenzenu?Nisije nikaharibikiwa!
Long time mkuu,ni nani huyo! Cosmas Chidumule?Ugomvi wa baba na mama,siwezi kuingilia kwa sababu ningali mdogo,wapo wazee,majirani na ndugu watakaosuluhisha!
Ingawa rafiki zangu wananilaumu,eti siwajali wazazi wangu tena siwajali kwa shida na mambo yao,sio kweli mimi nasema,ukweli ninao mwenyewe.
NITAWAELEZA;
Hata kama baba ndie mwenye kosa nifanye nini, hata kama mama ndie mwenye kosa niamueje mie! Nisije kosa radhi ya baba nisije kosa radhi ya mama!
[HASHTAG]#Naepuka[/HASHTAG] Lawama,naepuka lawama,miimi sio mtoto wa upande mmoja, nisimame upande gani mwenzenu?Nisije nikaharibikiwa!
.,yap yap kiongozi!Long time mkuu,ni nani huyo! Cosmas Chidumule?
...mseng.e maji baridi kama wewe huwezi kuelewa!Wewe choko kweli wewe, sasa ndio umeandika upuuzi gani hapa