Recent content by shex

  1. shex

    Samsung Galaxy C7 Inahitajika

    Ipo ila inauzwa 600k used for two months.. Iko njema sana kwenye kufotoa..yaani ni full HD nichek 0687160626
  2. shex

    Kwa matokeo haya nitaweza kusoma PGM kama private candidate?

    Bro ushapoteza mda mwingi kitaa.... Kua makini usipoteze mda wako tena... Nenda chuo directly....kwa mda uliokaa kitaa I hope umejifunza mengi sana.... Maisha sikuhzi makapuku hatuangalii unapendelea nn bali we focus on what the market wants... Nikimaanisha hitaji letu kubwa n ajira na sio fani...
  3. shex

    Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

    All the best dadaa nmependa sifa zako ila sina sifa zako unazozihitaji
  4. shex

    Ufugaji wa Tausi

    Hao ni nyara serikali huruhusiwi kuzichukua au kuzimiliki
  5. shex

    Fahamu kuhusu Kilimo cha Strawberries

    Wakuu nasikia hili ni mojawapo ya zao linaondoa mtu kwenye umasikin kabisa iwapo utafuata hatua zote muhimu kwenye ulimaji wake.. Naomba mwenye ujuzi atupe maujanja kidogo nataka kulima hili zao mwaka huu.. Pia ambaye anayelima au mwenye shamba darasa popote ndani ya Tanzania nipo tayari...
  6. shex

    Fahamu kuhusu Kilimo cha Strawberries

    Wakuu nasikia hili ni mojawapo ya zao linaondoa mtu kwenye umasikin kabisa iwapo utafuata hatua zote muhimu kwenye ulimaji wake.. Naomba mwenye ujuzi atupe maujanja kidogo nataka kulima hili zao mwaka huu.. Pia ambaye anayelima au mwenye shamba darasa popote ndani ya Tanzania nipo tayari...
  7. shex

    Hatimaye Nimepata Heka 5 Msolwa

    Good job ila .make sure unazindika shamba kwanza vijiji hivyo ni nuksi kwa uchawi LA sivyo hapo utakua huambulii kitu kabisa
  8. shex

    House4Sale Tunauza na kupangisha nyumba za aina mbalimbali

    Let's wait for Dr.shika
  9. shex

    AU yamjia juu Trump kwa 'kauli chafu' dhidi ya nchi za Africa

    Donald Trump sio chizi we jiulize mtu tajiri kama yeye unapata wapi kigezo.cha kumtukana..? Trump we always hate him due to tendency of being unhypocracy..
  10. shex

    Pata millioni mia moja bure kwa kuleta mteja wa kiwanja

    Its almost 730,000 US$
  11. shex

    Uzi maalum wacheza soka wa zamani kuwataja walipo na timu walizochezea 1990 kurudi nyuma

    Nteze John toka Kaliua Tabora... Fundi wa zamani huyu
  12. shex

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Omary Ali Juma umemuacha Mkapa na nani.. Nmeimiss hyo nyimbo toka kwa komba
  13. shex

    Kazi ya mti wa mlungulungu na mruturutu

    Weka picha maana majina ndo shida
Back
Top Bottom