Recent content by shemeji jirani

  1. S

    Nimueleweje na nifanyaje?

    Kama wako aliyeletwa na Mungu atarudi ucjali dada hayo mapito yatapita ,! Mm mwenyewe ndio hvyo namsubiria mdada mpole mrembo ila bado ananizingua usiache kusali kama kweli amechaguliwa na yeye atakuja tu,!
  2. S

    Nimerudi toka safari nakuta mpenzi wangu anakisonono

    Usimuache mkuu, endelea kumpenda kama mshahara,
  3. S

    Mwanzo wa meditation

    Mkuu darasa lini linaanza rasmi #pablo mansah,!
  4. S

    Kuna mwana JamiiForums nampenda lakini naogopa kumfata PM

    Mkuu kuna mmoja mm nilimtokea na nikawa na malengo nae kama ya kuwa mke wangu akatokea mnafiki , mzandiki mwenye wivu wa kike kamjaza maneno ya uongo mwanamke nae alivyokuwa mjinga kaamini yupo na jamaa, hahaha unafki nao kipaji teh, kuna jamaa alicopy story moja humu akadai yake kumbe domo zege...
  5. S

    Wosia wa ijumaa

    In shaa Allah tufe tukiwa waumini,!
  6. S

    Kukamatwa na kuuwawa mlipuaji mabomu Arusha, CHADEMA yapongeza jeshi la Polisi!

    Ni upepo utapita tu mangapi yamepita mazito kuliko hili amepita dengue.
  7. S

    Trafiki apigwa Ubungo mataa

    Walompiga ***** zao
  8. S

    Mwanzo wa meditation

    Mansah napita ticha.,
  9. S

    Niulize chochote kuhusu Michael Jackson

    Unajua kwann alitoa nyimbo ya heal the world ?? Unajua kwann alitaka afanye show ya mwisho aache mziki ! Je unajua tony madola aliitwa devil kwasababu gani .,;!"
  10. S

    Miss Tanzania 2014 live Star TV

    Mwenye namba ya miriam odemba wakuu anitumie au anayejua insta id yake.,! Sichangii chochote hapa ila waerevu watanielewa.,
  11. S

    Niulize chochote kuhusu Michael Jackson

    Huna unalijua pumba tu unajibu ww unadhani tony madola alitukanwa kwaajili ya recism ,,, moja ya chanzo cha kifo chake ni pale aliposlimu na kutaka kuutangazia uma ubaya wa secret society., .
  12. S

    IGP Mangu: Trafiki wengine hawa hapa

    Mtoa mada maku mama koya.
Back
Top Bottom