Kama wako aliyeletwa na Mungu atarudi ucjali dada hayo mapito yatapita ,! Mm mwenyewe ndio hvyo namsubiria mdada mpole mrembo ila bado ananizingua usiache kusali kama kweli amechaguliwa na yeye atakuja tu,!
Mkuu kuna mmoja mm nilimtokea na nikawa na malengo nae kama ya kuwa mke wangu akatokea mnafiki , mzandiki mwenye wivu wa kike kamjaza maneno ya uongo mwanamke nae alivyokuwa mjinga kaamini yupo na jamaa, hahaha unafki nao kipaji teh, kuna jamaa alicopy story moja humu akadai yake kumbe domo zege...
Unajua kwann alitoa nyimbo ya heal the world ?? Unajua kwann alitaka afanye show ya mwisho aache mziki ! Je unajua tony madola aliitwa devil kwasababu gani .,;!"
Huna unalijua pumba tu unajibu ww unadhani tony madola alitukanwa kwaajili ya recism ,,, moja ya chanzo cha kifo chake ni pale aliposlimu na kutaka kuutangazia uma ubaya wa secret society., .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.