shemeji jirani
Member
- Aug 13, 2014
- 35
- 6
Kama wako aliyeletwa na Mungu atarudi ucjali dada hayo mapito yatapita ,! Mm mwenyewe ndio hvyo namsubiria mdada mpole mrembo ila bado ananizingua usiache kusali kama kweli amechaguliwa na yeye atakuja tu,!
Ndio umeamua kunitangaza hadi huku?
Hello wana Jamiiforums
Mimi ni mwanamke Wa miaka 25-30 . Kama miezi kadhaa nimejuana na huyu Kaka ni mkarimu kwa Kweli na ni mcha Mungu, hii ndio sababu kubwa ambayo imenivuta kwake. Kitu ninachokipenda kingine yaani ananifanya na kuwa free kutania na kuchekeshana kwa sana ma hii Mimi huwa Napenda sana.
Okay sababu iliyonileta hapa ni hivi tuna week ya pili sasa inakwenda hela mawasiliano. Ninakuwa Nina wasiwasi kuhusu hali yake kwa maana si kawaida yake .
Nimepiga simu lines zake zote moja inaita ni ya kikazi Inakata tuu haipokelewi na nyingine ni private haupatikaniki. Ikabidi nimtafute Rafiki yake ambaye akishawahi kunitambulisha mwake na wanafanya kazi pamoja . Nimemuuliza akaniahidi kunifuatilia.
Alichoelezwa kawa Huyu MTU amekwenda likizo. Kumbuka hajawahi kuniambia kuhusu hilo na si kawaida yake. Mimi Bado sikuachia hapo nikaendelea kupiga simu ile ya kikazi kuna MTU alipokea mwanamme akaniambia kuwa huyu MTU hayupo.
Elewa Mimi Niko nnje ya Tz kidogo. Nimeandika SMS nyingi hazijibiwi. FB messages pia hazijibiwi . Nimemuomba msamaha nilipomkosea kwenye FB messages na kwenye SMS lakini wapi Bado kimya . Anajibu messages za wengine FB lakini sio zangu.
Leo nimeingia FB kutizama kama messages yeyote lakini Bado hamna lakini niliona aliingia . Baadae tena nikaingia FB tena kwenye kukaa , nikamuona online nikaita jina lake kwenye messenger Wala hajajibu chochote na hakukaa sana akatoka online.
Hebu niambieni wanaume na wanawake wenzangu nifanyeje? Na Je nimemkosea nini Huyu jamaa yangu? Nia yake ni nini ? Je Kweli anania nzuri na Mimi? Saa nyingine natamani nichukue tuu ndege nije lakini siwezi .
Je niwe na subira nae au niendelee na maisha yangu? Kusema Kweli Nina connection nae moyoni . katika mahusiano yetu, pamoja si ya muda mrefu tumeongea mengi sana kuhusu maisha na familia pamoja na maendeleo . Hata sijui nifanyeje.
Na kama amepata mwingine aniambie tuu ili nijue kuliko kuumia moyoni .
Mchepuko Mimi siwezi .
Nawasikiliza ndugu tafadhali.
Asante
hello wana jamiiforums
mimi ni mwanamke wa miaka 25-30 . Kama miezi kadhaa nimejuana na huyu kaka ni mkarimu kwa kweli na ni mcha mungu, hii ndio sababu kubwa ambayo imenivuta kwake. Kitu ninachokipenda kingine yaani ananifanya na kuwa free kutania na kuchekeshana kwa sana ma hii mimi huwa napenda sana.
Okay sababu iliyonileta hapa ni hivi tuna week ya pili sasa inakwenda hela mawasiliano. Ninakuwa nina wasiwasi kuhusu hali yake kwa maana si kawaida yake .
Nimepiga simu lines zake zote moja inaita ni ya kikazi inakata tuu haipokelewi na nyingine ni private haupatikaniki. Ikabidi nimtafute rafiki yake ambaye akishawahi kunitambulisha mwake na wanafanya kazi pamoja . Nimemuuliza akaniahidi kunifuatilia.
Alichoelezwa kawa huyu mtu amekwenda likizo. Kumbuka hajawahi kuniambia kuhusu hilo na si kawaida yake. Mimi bado sikuachia hapo nikaendelea kupiga simu ile ya kikazi kuna mtu alipokea mwanamme akaniambia kuwa huyu mtu hayupo.
Elewa mimi niko nnje ya tz kidogo. Nimeandika sms nyingi hazijibiwi. Fb messages pia hazijibiwi . Nimemuomba msamaha nilipomkosea kwenye fb messages na kwenye sms lakini wapi bado kimya . Anajibu messages za wengine fb lakini sio zangu.
Leo nimeingia fb kutizama kama messages yeyote lakini bado hamna lakini niliona aliingia . Baadae tena nikaingia fb tena kwenye kukaa , nikamuona online nikaita jina lake kwenye messenger wala hajajibu chochote na hakukaa sana akatoka online.
Hebu niambieni wanaume na wanawake wenzangu nifanyeje? Na je nimemkosea nini huyu jamaa yangu? Nia yake ni nini ? Je kweli anania nzuri na mimi? Saa nyingine natamani nichukue tuu ndege nije lakini siwezi .
Je niwe na subira nae au niendelee na maisha yangu? Kusema kweli nina connection nae moyoni . Katika mahusiano yetu, pamoja si ya muda mrefu tumeongea mengi sana kuhusu maisha na familia pamoja na maendeleo . Hata sijui nifanyeje.
Na kama amepata mwingine aniambie tuu ili nijue kuliko kuumia moyoni .
Mchepuko mimi siwezi .
Nawasikiliza ndugu tafadhali.
Asante
dada natumaini uko poa, ulifanikiwa kumpata rafiki yako kipenzi alieamua kukupotezea?
Njoo utujuze wanajamvi, i mean muendelezo upo? Hayo tu.
Hope utakuja na majibu positive.
Hello wana Jamiiforums
Mimi ni mwanamke Wa miaka 25-30 . Kama miezi kadhaa nimejuana na huyu Kaka ni mkarimu kwa Kweli na ni mcha Mungu, hii ndio sababu kubwa ambayo imenivuta kwake. Kitu ninachokipenda kingine yaani ananifanya na kuwa free kutania na kuchekeshana kwa sana ma hii Mimi huwa Napenda sana.
Okay sababu iliyonileta hapa ni hivi tuna week ya pili sasa inakwenda hela mawasiliano. Ninakuwa Nina wasiwasi kuhusu hali yake kwa maana si kawaida yake .
Nimepiga simu lines zake zote moja inaita ni ya kikazi Inakata tuu haipokelewi na nyingine ni private haupatikaniki. Ikabidi nimtafute Rafiki yake ambaye akishawahi kunitambulisha mwake na wanafanya kazi pamoja . Nimemuuliza akaniahidi kunifuatilia.
Alichoelezwa kawa Huyu MTU amekwenda likizo. Kumbuka hajawahi kuniambia kuhusu hilo na si kawaida yake. Mimi Bado sikuachia hapo nikaendelea kupiga simu ile ya kikazi kuna MTU alipokea mwanamme akaniambia kuwa huyu MTU hayupo.
Elewa Mimi Niko nnje ya Tz kidogo. Nimeandika SMS nyingi hazijibiwi. FB messages pia hazijibiwi . Nimemuomba msamaha nilipomkosea kwenye FB messages na kwenye SMS lakini wapi Bado kimya . Anajibu messages za wengine FB lakini sio zangu.
Leo nimeingia FB kutizama kama messages yeyote lakini Bado hamna lakini niliona aliingia . Baadae tena nikaingia FB tena kwenye kukaa , nikamuona online nikaita jina lake kwenye messenger Wala hajajibu chochote na hakukaa sana akatoka online.
Hebu niambieni wanaume na wanawake wenzangu nifanyeje? Na Je nimemkosea nini Huyu jamaa yangu? Nia yake ni nini ? Je Kweli anania nzuri na Mimi? Saa nyingine natamani nichukue tuu ndege nije lakini siwezi .
Je niwe na subira nae au niendelee na maisha yangu? Kusema Kweli Nina connection nae moyoni . katika mahusiano yetu, pamoja si ya muda mrefu tumeongea mengi sana kuhusu maisha na familia pamoja na maendeleo . Hata sijui nifanyeje.
Na kama amepata mwingine aniambie tuu ili nijue kuliko kuumia moyoni .
Mchepuko Mimi siwezi .
Nawasikiliza ndugu tafadhali.
Asante
Bahati ka hizi tunatafuta sana sisi ningepata mwanamke wa dizaini yako ningetulia sana jamaa wa ajabu sana hafahamu wanawake wenye upendo wako wako wachache sana[/QUOT
MKUU MOYO WA MTU KICHAKA, NA JAMBO USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA.
smart men never tell when they let go of your hands especially when they know the potential side effects!
Maintain sober state of mind, accept the entire scenario and move on with your life.
But again, the man might be in some very serious relationship thats why you are not informed of his work holiday. Pole dadake na yule
Smart men never tell when they let go of your hands especially when they know the potential side effects!
Maintain sober state of mind, accept the entire scenario and move on with your life.
But again, the man might be in some very serious relationship thats why you are not informed of his work holiday. Pole dadake na yule
Smart men are courageous and straight forward! Not that fella who toys with one's emetions.
Loveissweet you are too sweet for him to handle a lady like you....Take heart and move on h ain't worth your precious time...Sorry for the hard time I feel your agony.
Miwanaume ndo ilivyo hapo ushakosea sana,inavyoonekana kwake umekufa,hawa watu haitakiwagi wajue kama unampenda sass hayo ndo malipo yake! Kifupi hiyo ndo style alotumia kukuachaa kubali matokeo Fanya kama amekufa HV tuone itakuwaje
Ndio umeamua kunitangaza hadi huku?
Bahati ka hizi tunatafuta sana sisi ningepata mwanamke wa dizaini yako ningetulia sana jamaa wa ajabu sana hafahamu wanawake wenye upendo wako wako wachache sana
Ni kweli huo sio usmart ni upuuzi anamwacha mwenzie kwenye suspense anategemea ataota?? Watu wengine sijui wakoje. Mijitu kama hii haijiamini tuSmart men are courageous and straight forward! Not that fella who toys with one's emetions.
Loveissweet you are too sweet for him to handle a lady like you....Take heart and move on h ain't worth your precious time...Sorry for the hard time I feel your agony.