Niulize chochote kuhusu Michael Jackson

Niulize chochote kuhusu Michael Jackson

kweli 100%

ahaha mnanichekesha sana , nawaomba mkasome historia ya klux klan kwanza halafu utaona ukweli upo wapi, Michael jackson pamoja na kubadilika rangi yake bado alikuwa anabaguliwa na wazungu kama kawaida..

ukitaka maelezo sahihi tafuta video Youtube Michael alikuwa akimuongelea jinsi gani manager wa Sony Music "Tony" alivyokuwa akiwabagua na kuwatumia vibaya wasanii weusi ikiwemo yeye...hapa utaona hayo mambo ya KKK ni uzushi wa kipuuzi usiofaa hata kusikilizwa
 
Katika history ya familia yao, kuna mtu mwingine mwenye.vitiligo???

na kuhusu mazingira ya kifo chake umeyafatilia vizuri? Umekalil kila linalosemwa ni rumorz? Nipe uchunguzi na jinsi ulivyo fatilia hadi kusema hayo uliyo yasema

Mpaka nimekuja hapa najiamini nipo well informed...ukitaka evidance ya vitiligo ya michael jackson alisema yeye mwenyewe mwaka 1993 kwenye mahojiano na oprah

pia hata Daktari wake Conrad Murray amethibitisha hayo kuwa michael jackson alikuwa anaumwa Vitiligo , na chanzo kingine cha uhakika ni ripoti ya Postmotum ya kifo chake maana ilitolewa na Daktari aliyemchunguza alithibitisha hilo
 
Unafikiri nin? hasa siri ya mafanikio ya michal jackson, pamoja na kuwa mwanamziki je? alikuwa na vyazo vingine vya kimapato!

Ukiachana na kuwa mwanamuziki Michael alikuwa mjasiriamali, ..

Anamiliki haki za kundi maarufu la The beatles, pia ana hisa za kutosha katika makampuni mbalimbali yanayojishughulisha na maswala ya muziki
 
Ukiachana na kuwa mwanamuziki Michael alikuwa mjasiriamali, ..

Anamiliki haki za kundi maarufu la The beatles, pia ana hisa za kutosha katika makampuni mbalimbali yanayojishughulisha na maswala ya muziki

Mfano wake ni Sony/ATV music
 
Ukiachana na kuwa mwanamuziki Michael alikuwa mjasiriamali, ..

Anamiliki haki za kundi maarufu la The beatles, pia ana hisa za kutosha katika makampuni mbalimbali yanayojishughulisha na maswala ya muziki

Acha kujibu waswali kama darasa la nne!
 
Mpaka nimekuja hapa najiamini nipo well informed...ukitaka evidance ya vitiligo ya michael jackson alisema yeye mwenyewe mwaka 1993 kwenye mahojiano na oprah

pia hata Daktari wake Conrad Murray amethibitisha hayo kuwa michael jackson alikuwa anaumwa Vitiligo , na chanzo kingine cha uhakika ni ripoti ya Postmotum ya kifo chake maana ilitolewa na Daktari aliyemchunguza alithibitisha hilo

Bado hujajua ishu zinazo.itwa secret,,,,,,,
 
Bado hujajua ishu zinazo.itwa secret,,,,,,,

Hayo mambo nayafahamu kushinda unavyofikiria, mimefuatilia pande zote na nimegundua kuna mambo mengi sana ya kizushi...likiwemo hlo la Michael kuwepo KKK
 
Huna unalijua pumba tu unajibu ww unadhani tony madola alitukanwa kwaajili ya recism ,,, moja ya chanzo cha kifo chake ni pale aliposlimu na kutaka kuutangazia uma ubaya wa secret society., .
 
Hayo mambo nayafahamu kushinda unavyofikiria, mimefuatilia pande zote na nimegundua kuna mambo mengi sana ya kizushi...likiwemo hlo la Michael kuwepo KKK

Huyu mshkaji ishu zake.nyingi sana alikuwa akishow kwenye video zake its like kutoa ujumbe kwa societ,,,na he was about to speak out everythng

Ningeweza post.video ningeweka hapa.

Si..yeye tu hata wasanii wengine wanaelezea mambo mengi kwenye music n video za music yao
 
show ya kwanza kufanya michael jackson ilikuwa mwaka ngan?

Nini siri kubwa aliyoifanya na akewateka wapenzi wa muziki wa pop?

kitu ngani kilichomfanya hadi akafa,!?

naomba unijuze katika show moja ambayo ilifanywa na m.j iliingiza $ ngap?
 
Huna unalijua pumba tu unajibu ww unadhani tony madola alitukanwa kwaajili ya recism ,,, moja ya chanzo cha kifo chake ni pale aliposlimu na kutaka kuutangazia uma ubaya wa secret society., .

ntaendelea kupinga hayo mawazo yako ya udini na conspiranza, kama kutangaza michael alikuwa na uwezo wa kutangaza muda wowote na wakati wowote..

nakusihi usipende kuyashika mambo haya mnayoona kwenye cd uchwara na mkaziassociate na imani zenu, Tony ni mmbaguzi huo ndo ukwli kama Michael aliweza kusema Tony ni mmbaguzi kwann ashindwe kusema huo uzushi unasema..

nakusihi sana hizi cd uchwara za ubungo ukiziangalia changanya na akili zako
 
Unajua kwann alitoa nyimbo ya heal the world ?? Unajua kwann alitaka afanye show ya mwisho aache mziki ! Je unajua tony madola aliitwa devil kwasababu gani .,;!"
 
Kwanini M.j aliamua kuchukua sperm zake kupandkza kwa demu wake, na acfanye direct sex ambayo mtu anaona utamu?????? Naomba nijibu mkuu elnino.
 
Ila hakika wako jako nilimpenda. Sasa eli nino tuambie wale watoto watatu wa michael jakson ni wa kutoka katika mbegu yake? wale genetically ni wazungu pure wakati michael ni mwafrika. Je kuna siri gani hapo? funguka.
 
Last edited by a moderator:
Hzo zote conspiracy theories ila hakuna evidance ya moja kwa moja kuwa Michael alikuwa member wa hayo makundi..

Michael alikuwa mwanamuziki mwenye kipaji kikubwa mno tokea akiwa na miaka 6, kipaji chake na management nzuri ndo vimechangia mafanikio yake

Basi inaonyesha amna ulijualo kuhusu mj ...
Hivi unajua tony madola alikuwa nan ?
Je wajua kwanin walimpiga sindano ya sumu?
 
ntaendelea kupinga hayo mawazo yako ya udini na conspiranza, kama kutangaza michael alikuwa na uwezo wa kutangaza muda wowote na wakati wowote..

nakusihi usipende kuyashika mambo haya mnayoona kwenye cd uchwara na mkaziassociate na imani zenu, Tony ni mmbaguzi huo ndo ukwli kama Michael aliweza kusema Tony ni mmbaguzi kwann ashindwe kusema huo uzushi unasema..

nakusihi sana hizi cd uchwara za ubungo ukiziangalia changanya na akili zako

Mkuu watu kama hawa wapo wengi sana na wandanganyagwa sana, na mashekhe uchwara kwenye hizo CD za elfu tatu tatu Nje ya msikiti!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom