Recent content by sergio 5

  1. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Dogo anaomba ushauri majanga kazi mpya aliyopata

    DOGO aliupata interview moja ya kazi alipoenda akafanya vizuri boss akamwambia anampa week 1 ya kujifunza na kwakuwa anakaa mbali atakuwa anapatiwa hela ya usafiri kila siku anapotoka kazini pesa ikatolewa yote na boss Kwa mhasibu huku akishuhudia ajabu dogo anasema kapewa nauli siku 1 . Tu...
  2. sergio 5

    JamiiForums Tanzania FT: France 0-2 Spain | World Cup 2026 | AT&T Stadium | 14 Julai, 2026 | 4:00 Usiku | France out . Spain Fainal

    Naangalia marudio hapa sioni kama France atapata ata goal la mkono
  3. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    😋
  4. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Why are we the way we are?

    Can anyone come here and explain it deeply?
  5. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Kwanini makanisani hili hutokea?

    Kwanini wanawake hudondoka na kuweweseka wanapofanyiwa maombi tofauti na wanaume mfano Jana wanawake ,15+ wamedondoka Wanaume 1 Tu Kati ya 10 Je nini huwa dondosha na uyo mwanaume aliyedondoka Tumuweke kundi la wanawake?
  6. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kubwa kwa Taifa kubwa kama Marekani kutokuwa na lugha yao ya asili na rasmi, wanazidiwa mpaka na Wamakonde

    Ila wenyewe wanawazidi vingi Sana hao wamakonde
  7. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Tafuta pesa Kwa nguvu, dunia ni katili Kwa maskini

    I'm free abouth this Stupidy thought and i'm not money or material oriented
  8. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

    Naomba kuwa mgeni wako
  9. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Aliponiambia yeye na mimi basi. Nikamwambia sawa haina shida. Nlichomfanya hatonisahau kamwe

    Basi wewe ungepewa bunduki 29 ungemaliza wote ubaki pekeako
  10. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Spain Mabingwa wa World Cup 2026 tukutane hapa

    Ni miaka 16 toka tumebeba taji letu la kwanza na sasa ni wakati wetu kunyanyua makwapa Kwa mara ya pili Njoo apa tukutane tushauriane kuhusu team yetu na tupeane updates mbali mbali
  11. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Bi. Haika Yuko sahihi. Kuna wanaume ni Gold-diggers. Tabia mojawapo ya u-gold digger ni kijana kupenda mishangazi(wanawake wakubwa kiumri)

    Kuna kosa gani mwanaume akiwa ivyo? Mnataka mishangazi usipate Radha za vijana?
  12. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Arusha na Moshi kuna shida gani hasa kiroho?

    Geita ni noma
  13. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

    Mambo Una mtu?
Back
Top Bottom