Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

Kuna V8 plate no. ya raia ilikanyaga boda akafa apo apo kibaha haikusimama boda wenzie wakaona mbele kam kuna kajam flan wakaiungia,gari ndani ina watu kam wanne wote wa mfumo na wanavyamoto..walisimama wakatoa vyuma wakabebwa watatu wakawekwa nyuma ila walienda kuwaachia morogoro,uzuri washkaji wana roho nzuri,walipiga simu ofisini kwao,kesho yake maziko walikuja wenzao kuzka na kuleta pole
Kwa nini mnawaita watu wa mfumo?
 
Was*nge sana,mwenyewe nimekutana na kisanga kama hiki ila mwenye pikipiki wala hakuumia na wala hakudondoka aliyumba tu.

Sikuona sababu ya kusimama palepale kutengeneza foleni, wakadhani nakimbia,wakablock barabara na miluzi kibao.

Mhusika hakuwa boda ni pikipiki binafsi hlf wa kishua siyo njaa njaa,tukaelewana bila hata mie kushuka.

Mabodaboda walikuwa tayari wanavuta milango nishuke,hawakuamini jamaa alipoamua kupotezea na kuondoka bila kuhitaji hata mia.

Ni mwezi huuhuu wa 8.
imagine amegongwa ndugu yako au wewe halafu mgongaji akasepa bila kutoa msaada utajiskiaje?
 
Mmh, hahaha eeh mkuu hapo umenena, hii ndo Dar kweli. Kioo kuvunjika ni kidogo, wangekuta na gari nzima ingekuwa story. Naona hawa boda wana usenge wa hali ya juu, mfukuzo wa huo kasi hata huo kioo kimepata hasara yake. 😂😂 Lakini hata hivyo mzee, hii ni hatari sana, dereva alifanya makosa kubwa kukimbia. Wangekuta na kumaliza hapo hapo, maisha ya mtu ni kitu kingine. Nimewahi kuona tukio kama hilo pale Ubungo, boda alifanya makosa madogo tu lakini wenzake walimfukuza dereva mpaka akajificha kwenye duka la vipuri, likawa jambo la watu wengi kuja kuona. Hapa ni kweli usenge wa Dar unatisha, lakini pia inaonyesha watu wamechoka na vitendo kama hivi.
 
Hii nchi kuna tatizo watu wana hasira sana, dispute kama hii inaweza kuwa solved bila violence… Nyie tusijifanye hatuoni, kuna tatizo kubwa sana.

Ni kama nchi imetoboka.
Angalau wewe umeona. Kuna hasira sana na chanzo ni unemployment ya wale wanaomaliza vyuo wakitegemea kazi ila hawazipati. Hata 29/10 ilikuwa hivi hivi.

Hii inatokana na ukweli kuwa Watanzania (Wazazi na Watoto wao) kung'ang'ani dhana potofu kuwa ajira ipo Serikalini.

Pili wale walioajiriwa Serikalini wanaonesha mfano mbaya wa ufisadi, hiyo nayo ni pulling factor etc

Mtu akijiajiri, bado anaona yupo unemployed (bado yupo kijiweni akisaka ajira za Serikalini). Ila la kushangaza akina Prof Mkumbo badala ya kushughulikia masuala haya, wapo kuhangaika na Chadema with Cheap politics - mara ati utawala hauonjwi kama uji!!!!!
 
Tukio lililozua taharuki jijini Dar-es-Salaam ambapo dereva wa gari kagonga boda, (inasemekana kafariki) kisha kukimbia kwa kasi

Boda wenzake wakaanza kumfukuza kwa kasi, baada ya kumpata hiki ndicho kilichotokea

Hata angesimama ingekuwa hivyo hivyo bodaboda huwa akili hawana

USSR
 
Tukio lililozua taharuki jijini Dar-es-Salaam ambapo dereva wa gari kagonga boda, (inasemekana kafariki) kisha kukimbia kwa kasi

Boda wenzake wakaanza kumfukuza kwa kasi, baada ya kumpata hiki ndicho kilichotokea


Kuna umuhimu wa kubeba silaha ya moto. Bila kuwa nayo utanikuta unaonewa
 
Sasa huyo jamaa kioo cha gari kimemfanya nini?...
Ok kakimbia lakini wamempata na gari imepaki why upasue kioo hivyo....
Hawa watu wa pikipiki kumamae zao ipo siku watajaa kwa mtu atawatawanya ubongo....
Mungu niepushe mimi mja wako....
Amen
Mjinga wewe hasara zaidi ya roho?
Haya baada ya kupasua kioo roho inarudi?....
 
😆😆😆 kuna wasenge wanajua kutia hasara, yaani alivyovunja hicho kioo hata hajali
Hapo wengi wanaongozwa na hasira za maisha na siyo kwa sababu ya ajali iliyotokea. Vijana wengi wenye maisha ya kuunga-unga wamejawa na chuki kwa wenye afadhali ya maisha. Nchi yenye vijana wengi wasio na ajira kama Tanzania, huwa inakuwa kama petrol inayosubiri moto.
 
Back
Top Bottom