Recent content by semmy samson

  1. semmy samson

    Ebu wote angalieni hii picha,mi sina la kusema

    no sijaelewa au macho yangu hiyo ni rang ya chungwa ee.
  2. semmy samson

    Mwanangu kipenziiiii

    dogo mwanasiasa wa ukweli sijui 2015 atagombea?
  3. semmy samson

    Jamani beach kuzuri balaa.....

    katafute ya ng'ombe
  4. semmy samson

    Hivi kujivua gamba kunamaanisha nini katika siasa

    Jamani wadau tusaidiane kwa hili kujivua gamba ni term ambayo tunaitumia kisayansi hasa kwa reptilia katika swala la ukuaji sasa hawa wanaolitumia kisiasa wanamaanisha wanatoka stage moja ya ufisad kwenda nyingine au? HELP ME PLZ
  5. semmy samson

    Sitta amwaga radhi TBC1

    AAAAAAAAAGHHHHHHHHHH ghghghghghghgggiiiiiiiihhhhhhhhhhhhhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nawatamani hao 10 halaf nahis wapo wengine:angry::redfaces::A S angry:
  6. semmy samson

    Imetokea loliondo

    OOOOOOOOOOOh dada yangu inaonekana kuwa wewe ni mpendwa good namuunga mkono rose...But wewe avatar yako haina upako te he tehe tehe tehe.....
  7. semmy samson

    Lukuvi agonga kikombe kiujanja na kutoa msaada

    Huyo lazima aende maana akili yake imeanza kuchoka....ndo maana hata maneno yake yanakuwa kama ya mtu asiye na utimamu wa akili akienda kwa babu huyoo hataongea tena upuuuuzi...
  8. semmy samson

    Lukuvi agonga kikombe kiujanja na kutoa msaada

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu), William Lukuvi, akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawalali na Rose Nyerere (katikati) baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndega wa Wasso, Liliondo, jana asubuhi. Rose alitua na ndege nyingine akiwa na mdogo wake anayeumwa, Mazembe...
  9. semmy samson

    Mwandishi wa Mtanzania aliyeandika JK nchi imekushinda afukuzwa

    Yaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani ndio maana tukisema hamna Elimu mnalalamika mmekalia chama cha kurithishana... mara makamba, mara mtoto wake mtaishia hivo kiama chenu chaja, Umbea tuuu taarifa gani hiyo halafuuuu kumbe we dogo hivi wadau amekaribishwa huyu.
  10. semmy samson

    Mwingira amlaani mchungaji Loliondo

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
  11. semmy samson

    Mwingira amlaani mchungaji Loliondo

    Jamani huu ni wivu wa kiimani au nini wadau?...huyu Mtu kumuonea wivu Babu anamaana gani. hebu ichekini hii taarifa ilyoandikwa na Elizabeth Suleyman gazeti la mwnanchi....15 march 2011 Mtume na Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha amemuombea mabaya Mchungaji Ambikile Mwasapile...
  12. semmy samson

    a moment of Silence...rest in peace Nate Dogg...

    more Info. plz He is my favourate singer............
  13. semmy samson

    MGOGORO: Malumbano ya UVCCM, Viongozi wastaafu na Hatima ya CCM

    sasa kaka kwani alihutubia jukwaani si alikuwa akitoa mahubiri kanisani......ile ni sehemu ya kazi yake kuwaelimisha waumini lakini hakuwa jukwaani kama wafanyavyo wanasiasa
  14. semmy samson

    MGOGORO: Malumbano ya UVCCM, Viongozi wastaafu na Hatima ya CCM

    ya viongozi wa dini tuyaache kama ya livyo kwani hii ipo kiimani zaidi kwani nijukumu la kila mtu kuongea na waumini wake kuhusu mambo yanayowapasa kufanya na sio vinginevyo,,,,,,tupo hapo?
Back
Top Bottom