Jamani beach kuzuri balaa.....

ukienda beach ya miami usa si utaomba uraia kabisa?!!

Copa Cabana Brazil

Hostels-Rio3.jpg
 
Nyonyoz..... Nikiwa bongo beach must kuenda kila weekend.madada wengi huenda bichi kupunga upepo na si kuogelea ila maji ya bahari yana kaushetani flani lazima utamani kuogelea ukiona wenzio wanaogelea.hapo ndo wakina dada wanapofanya vituko,anaazima kanga anaingia kwenye maji akiinuka kanga imetoka nyonyo nje
 
Miji yetu ni very frustrating sana, sehemu ya kupumzikia tunawapa wenye pesa kujenga.

Hizo sehemu zinatakiwa ziwepo wazi kama mdau hapo juu alivyosema ili matajiri na masikini waweze kukutana, saizi inakuwa kazi ngumu kumpata binti wa tajiri wakaoana na kijana kutoka familia zenye maisha ya chini kidogo kwa sababu za kibaguzi kama hizo. Kuoa mdosi nako ni kazi, kidogo waarabu unaweza pata kama unajuhudi vinginevyo upige kitabu upate kikazi ndo umpate kimwana naye opportunist mwisho wa siku unabaki mdomo wazi.

Na hata kupata sehemu iliyo karibu kwa ajili ya kupumzika tu ni ngumu, kila sehemu ukipita katikati ya jiji inanuka mikojo, vinyesi, takataka na majitaka.

Manispaa/Majiji zet/yetu wana urafiki na majiji mengi duniani lakini sijui wanaendaga kuzubaa au kuuza hizi fukwe! Lol, bongo noma jamani kila mtu anavutia kwake anavyoweza mwisho wa siku anabaki zero. Utasikia tu oooo fukwe za kawe zinamilikishwa kwa mwekezaji oooo, unajua alikyekuwepo kashindwa kazi, sababu kibao bila tija. Katiba jamani tuipiganie.
 
COPA CABANA BEACH ackwambie m2 kama hakuna polisi wanao fuatilia wanaume ambao ch*pi zao zime2na kwa mbele bac itakuwa full kumegana!!!:majani7:
 
Msipate tabu wakuu mliopo TZ. Karibuni ZNZ muje muone beach safi na maraha ya kila aina. Msipate tabu ya kwenda Brazil na Miami.
 
Hivi jamani maji ya bahari si uwa yana chumvi sana,inakuwaje kwenye maeneo ya s*r*n* ??hayana muwasho na mchupuo??au mazavi ya ndani huwa yanachuja kidogo kupunguza tindikali..!!!???
 
pale msasani nyuma ya kwa mwl.nyerere kuna beach inaitwa beach mavi.wawekezaji bado hawajaiona.
 
Kweli beach ni kuzuli lakini sie wenzenu wa Kawe hatufaidi beach yetu kwani mafisadi wamejenga nyumba zao na kufunga njia zote za kuendea huko beach; kuna njia moja tu pale kwa Rupia ambayo nayo itakujafungwa mwenye kiwanja akijajenga!! Nawashauri wahusika kuzuia ujenzi haramu unaoendekea Kawe beach sehemu ya Sykes close ambao hata baada ya kuzuiwa na halmashauri hawa waraabu wameendela kujenga na sasa wanajenga gate kuzuia kabisa access ya beach. Sasa wakituzuia kwenda beach vijana wetu si ndio wataanza kufanya uhalifu ; wahusika wa wilaya ya Kinondoni akiwemo Mbunge wa Kawe walifuatilie jambo hili kwani ni la hatari huko mbele lisiposhuhulikwa.


Hamia Kigamboni beach za kumwaga na mafisadi bado hawajanyakua
 
Afu namjua huyo anaegopa kuogelea ngoja ntamwambia kumbe ndo mwoga vile afu nkamfunze mwenyewe maadamu namjua..
 
Back
Top Bottom