OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Nimezifuma hizi katika pita pita zako hapo Habari Cooperesheni kuwa mwandishi binti mchanga kafukuzwa kisa kumchafua rais kwa makala. Mwaka huu mtaula wa chuya na sisi ndio tunasonga kuiska 2015. Hureeee piganeni nyie kwa nyie sie twachukua nchi tena walahi mtalia sana nyie