Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sitta mali yote aliyo nayo kaitoa wapi.
nyumba ya spika milioni 10 kwa mwezi huyo anajua umaskini wa watanzania. tunadanganyana bure.
Amesema ataendelea kupambana na ufisadi pamoja na nchi kuwa na rasilimali za kutosha wananchi bado ni masikini- inakuaje watu 43mil wanatikiswa na watu hawazidi 10 HAPA TANZANIA ANASEMA MWAKA 2011 ndiyo mwisho wao!Wananchi tusikubali
wana jf orodhesheni majina hao watu kumi ni nani ????wana jf fuatilieni taarifa ya habari.
---------
amesema ataendelea kupambana na ufisadi pamoja na nchi kuwa na rasilimali za kutosha wananchi bado ni masikini- inakuaje watu 43mil wanatikiswa na watu hawazidi 10 hapa tanzania anasema mwaka 2011 ndiyo mwisho wao! Amewataka wananchi wasikubali
Anapambana nao vipi? Anapambana na mafisadi kwa kutoa mafumbo? Get serious man. Wataje au sema unachokijua maana tunajua wewe ni mojawapo ya viongozi ambao wana CLASSIFIED INFO za serikali pamoja na chama chako. Kama kweli wewe ni mzalendo uliye na uchungu kwa nchi na wananchi wenzako, then toboa unachojua.....hatutaki mafumbo.
wana jf orodhesheni majina hao watu kumi ni nani ????
Kwa kweli sita nakupomgeza pambana na mafisani mpka mwisho ukifaka 2015 unahamia chadema
Wanajamvi lazima mjue prominent figure haiwezi kuhama chama kama wewe na mimi, hao wana siri nyingi ambazo zitawapa kiwewe wenzie katika chama.
Huyu jamaa ni kama vile mpinzani, nadhani JK alikosea kumpa uwaziri maana saizi amejenga ufa mkubwa sana ndani ya chama kutokana na tabia yake na tabia imeambukiza wengine hivyo kuongeza hali tete kwa CCM, wakati huo CDM wakikenua meno.
hivi CCM kuna mwenyekiti wa chama kweli au??? mbona sielewi
hivi mwenyekiti wao yupo ziara anabembea? mbona wanakwarurana hawa?
Wana JF fuatilieni taarifa ya habari.
---------
Amesema ataendelea kupambana na ufisadi pamoja na nchi kuwa na rasilimali za kutosha wananchi bado ni masikini- inakuaje watu 43mil wanatikiswa na watu hawazidi 10 HAPA TANZANIA ANASEMA MWAKA 2011 ndiyo mwisho wao! Amewataka wananchi wasikubali