Recent content by Semere92

  1. Semere92

    Tweet za Abdul Ameir zaleta taharuki huko Twitter

    Soma uelewa. Pay attention to every details. Number imeombwa 2012 nadhninwakati huo ndio alikuwa boss wa bunge la katiba.
  2. Semere92

    Je Mafwele ni Mtanzania?

    Upo sahihi kabisa na umejibu vyema sana.hongera sanaa mkuu.
  3. Semere92

    Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    Sasa atokee Dar aende hadi Kagera kweli? Au atoke Dar arudi Mbeya? Aiseee... Rudi shule bwana econometrician
  4. Semere92

    Kumbe usiku ni mrefu hivi?

    Hio ni GC=GONOcoccus=NEISSERIA GONORRHOEAE. AKA GONO
  5. Semere92

    Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Nilipoona mtaa wa zanzibar na benki ya nbc ukielekea sokoni nikajua hii ni Songea mjini
  6. Semere92

    Ibishie dunia siyo ulimwengu

    Una uhakika alitembea juu ya maji au ni stori za mapokeo na wewe umezipokea. Au umeamua kutumia akili na utashi wako kupokea mapokeo bila ya kuyatafakari. Umeanza vizuri sana kiwa "akili na utashi hukupewa ili upokee mapokeo tu". Ila umeanda mrama kidogo ulipokuja kuleta imani za kimapokeo.
  7. Semere92

    PreGE2025 Huenda mmoja kati ya hawa akamrithi Rais Samia Suluhu 2030

    Simuoni Paul Christian Makonda. Hii orodha ni batili.
  8. Semere92

    Kama utani nimenasa kwa Mama mtu mzima

    BICHWA KOMWE - njoo huku update uhondo. Hehehehehehe
  9. Semere92

    Ukisema tu haufanyi scrub unaoshwa kama unabatizwa aisee!

    Hahahahahaha. Akaona upara wako ndio pakupoozea ujoto wa kitambaa ambacho mikono imeshindwa kuhimili. Pole sana
  10. Semere92

    Je, nikimnyima tendo nitakuwa sawa?

    Nimependa style ya jamaa ya kukutenganisha na marafiki na ndugu zako Ili akitawale vyema zaidi. Mbinu za kimedani hizi
  11. Semere92

    Mke wangu kanipa wakati mgumu

    Hahahahahaha A
Back
Top Bottom