Recent content by Semere92

  1. Semere92

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

    Tupe link mkuu ya Huko exotice
  2. Semere92

    JamiiForums Tanzania Hatari ya matumizi majina bandia,jf Rafiki yangu kafariki na alikuwa member hapa ILA sijui alikuwa anatumia jina Gani? JE sifi Leo nikifa mtajuaje?

    Nitakuachia rahana wee Reo dada. leo dada Hujuhi nimesoma had chuo kikuu na hapa niripo Nina cheti Cha taharuma yangu. 🤣🤣 Kwa ufupi Mimi ni msomi. Na nmefiwa na classmeti wangu. Nimesomea mambo ya Tiharahei mambo ya hushulu.
  3. Semere92

    JamiiForums Tanzania Hatari ya matumizi majina bandia,jf Rafiki yangu kafariki na alikuwa member hapa ILA sijui alikuwa anatumia jina Gani? JE sifi Leo nikifa mtajuaje?

    Wa la saba B..🤣🤣.. leo dada mwenzio ana majonzi. Hehehehehe unaamua kumkarahisha namna hii.
  4. Semere92

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Ame beep ukampigia... Blah blah blah hutaki kusikia; na you have made one thing clear.
  5. Semere92

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

  6. Semere92

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa boss wangu ananitaka,nifanyaje?

    Hahahahaha 🤣. Sijategemea kukuona kwa hii thread mkuu. Hahahaha
  7. Semere92

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    Aaah. Wale Ogopa sana. Wahabesh sio kabisa. Bora ukutane na shetani anaweza kukuhurumia sio wale jamaa. Wale ni cartels kabisa. Wamekosa vyuma tu. 🤣🤣
  8. Semere92

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    Sio Sio walimu tu; kuna mwamba alimsokota mdada wa watu;tena inspector na cheo chake akavuta 11mil akapewa mwamba msukuma moja hivi. Akalala mbele na mpunga. Mama kaambiwa ngoja nikafanyebiashara ya Ng'ombe. Mama alihadaiwa na mapenzi moto moto; mixer ndoa na nini na nini. Cha ajabu mama...
  9. Semere92

    JamiiForums Tanzania Tweet za Abdul Ameir zaleta taharuki huko Twitter

    Soma uelewa. Pay attention to every details. Number imeombwa 2012 nadhninwakati huo ndio alikuwa boss wa bunge la katiba.
  10. Semere92

    JamiiForums Tanzania Je Mafwele ni Mtanzania?

    Upo sahihi kabisa na umejibu vyema sana.hongera sanaa mkuu.
  11. Semere92

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    Sasa atokee Dar aende hadi Kagera kweli? Au atoke Dar arudi Mbeya? Aiseee... Rudi shule bwana econometrician
  12. Semere92

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbe usiku ni mrefu hivi?

    Hio ni GC=GONOcoccus=NEISSERIA GONORRHOEAE. AKA GONO
  13. Semere92

    JamiiForums Tanzania Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Nilipoona mtaa wa zanzibar na benki ya nbc ukielekea sokoni nikajua hii ni Songea mjini
  14. Semere92

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Six Telecom yafungiwa kwa kuisababishia Serikali hasara ya Sh. Bilioni 8

    Mbona ghafla sana
Back
Top Bottom