Recent content by Semere92

  1. Semere92

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Majambazi wapora fedha na kumuua wakala

    Laki tatu imeendoka na Roho Tatu... Duh. Sasa na hawa wanaotumia simu za mamilioni itakuaje? Kama laki tatu imeendoka na Roho Tatu tu. Kazi kweli kweli
  2. Semere92

    JamiiForums Tanzania Ninafungua Barbershop: Je Vinyozi Walipwe Mishahara au Wakabidhi Hesabu?

    Chukua mfumo huu. Alafu walipwe kwa performance in terms of percentage of income per person depending on the activities. Weka flat rate ya percentage. Amefanya kazi ya milioni 5 kwa mwezi rate Yako let's say ni 20%. Basi calculations zinahusika. Ukiweka flat rate per head kazi haitachangamka na...
  3. Semere92

    JamiiForums Tanzania Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

    Iko wapi hii ya baba mkwe?
  4. Semere92

    JamiiForums Tanzania Ila wadada mmh, ni wachafu sana

    Mbona kama Irene ...... 524,000
  5. Semere92

    JamiiForums Tanzania Nimemuomba namba yake wiki 3 Zilizopita kilasiku Nilikua simtongozi Tunachati tu

    Wewe ndio unaingizwa mtegoni. Kuwa makini. Kaa kiaskari
  6. Semere92

    JamiiForums Tanzania Unga: Utajiri wa Haraka, Kifo cha Hakika

    Mil 700 akalia bata? Bata Gani ya mil 700. Au ni mil 70???😂
  7. Semere92

    JamiiForums Tanzania Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

    Tupe link mkuu ya Huko exotice
  8. Semere92

    JamiiForums Tanzania Hatari ya matumizi majina bandia,jf Rafiki yangu kafariki na alikuwa member hapa ILA sijui alikuwa anatumia jina Gani? JE sifi Leo nikifa mtajuaje?

    Nitakuachia rahana wee Reo dada. leo dada Hujuhi nimesoma had chuo kikuu na hapa niripo Nina cheti Cha taharuma yangu. 🤣🤣 Kwa ufupi Mimi ni msomi. Na nmefiwa na classmeti wangu. Nimesomea mambo ya Tiharahei mambo ya hushulu.
  9. Semere92

    JamiiForums Tanzania Hatari ya matumizi majina bandia,jf Rafiki yangu kafariki na alikuwa member hapa ILA sijui alikuwa anatumia jina Gani? JE sifi Leo nikifa mtajuaje?

    Wa la saba B..🤣🤣.. leo dada mwenzio ana majonzi. Hehehehehe unaamua kumkarahisha namna hii.
  10. Semere92

    JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Ame beep ukampigia... Blah blah blah hutaki kusikia; na you have made one thing clear.
  11. Semere92

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

  12. Semere92

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa boss wangu ananitaka,nifanyaje?

    Hahahahaha 🤣. Sijategemea kukuona kwa hii thread mkuu. Hahahaha
  13. Semere92

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    Aaah. Wale Ogopa sana. Wahabesh sio kabisa. Bora ukutane na shetani anaweza kukuhurumia sio wale jamaa. Wale ni cartels kabisa. Wamekosa vyuma tu. 🤣🤣
  14. Semere92

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    Sio Sio walimu tu; kuna mwamba alimsokota mdada wa watu;tena inspector na cheo chake akavuta 11mil akapewa mwamba msukuma moja hivi. Akalala mbele na mpunga. Mama kaambiwa ngoja nikafanyebiashara ya Ng'ombe. Mama alihadaiwa na mapenzi moto moto; mixer ndoa na nini na nini. Cha ajabu mama...
Back
Top Bottom