raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,828
- 36,833
Ina maana hao wengine mizigo yao haipiti kwenye mashine ikaguliwe bless on"Aliyebeba mzigo mdogo anachomwa ili wenye mzigo mkubwa wapite bila shida"
Mbaya sana hii dah
Ina maana hao wengine mizigo yao haipiti kwenye mashine ikaguliwe bless on"Aliyebeba mzigo mdogo anachomwa ili wenye mzigo mkubwa wapite bila shida"
Mbaya sana hii dah
Ile siyo Raha ni matesoYeah ndo raha yake.
Wenyewe wanasikia raha.Ile siyo Raha ni mateso
Mil 700 akalia bata? Bata Gani ya mil 700. Au ni mil 70???😂Ila Kuna watu Wana zali mkuu Kuna jamaa pale ununio alipata million 700 akailia bata yooote😁
Unapewa mchongo unaleta porojo tayari umefeli vigezo.Somewhere nilikutana na jamaa porojo nyiiingi anasema kuna mzigo wa kutoa Tunduma kupeleka Namanga, kasema nitapewa 500k kama nauli n.k
nikamwambia nyingi Sana hiyo nikifika Namanga nitakupa na chenchi.
Huku na kule jamaa kaingia mitini
Kazi ipo AseeeWenyewe wanasikia raha.
Hauna huo mchongo mkuu acha tuendelee kula kitimoto na bia tu tusogeze siku za kuhangaika hapa dunianiUnapewa mchongo unaleta porojo tayari umefeli vigezo.
Basi nitakupa kazi ya level yako, nina project kubwa kigamboniHauna huo mchongo mkuu acha tuendelee kula kitimoto na bia tu tusogeze siku za kuhangaika hapa duniani
Hapo sawa mkuu karibu sana! Tufanye hiyo project.Basi nitakupa kazi ya level yako, nina project kubwa kigamboni
Oya mzee ulitoka Kigoma kijilipua kweli. Duh!Somewhere nilikutana na jamaa porojo nyiiingi anasema kuna mzigo wa kutoa Tunduma kupeleka Namanga, kasema nitapewa 500k kama nauli n.k
nikamwambia nyingi Sana hiyo nikifika Namanga nitakupa na chenchi.
Huku na kule jamaa kaingia mitini
yaani anasema airport maaskari wanamkimbilia mtuhumiwa mmoja wanaachia wazi lango hao wengine wanapitaPunguza kuangalia sana movie mzee.
Ninaungana na wajumbe waliosema unatazama sana movie. Kwa akili za kawaida tu ni kuwa anapopatikana mtu mwenye unga ndo ukaguzi unakuwa mkali zaidi kwenye hiyo foleni. Huo ''Upande wa pili'' ni upi kwenye airport yoyote?Hivyo, bosi mwenyewe anavujisha taarifa za siri kwa polisi wa uwanja wa ndege ili punda mmoja (mwenye mzigo mdogo au asiye na uzoefu) akamatwe makusudi kama chambo (diversion). Polisi na vyombo vya habari wanapokimbilia kumkamata na kumshughulikia huyo chambo mmoja, wale punda wengine watatu wenye mizigo mikubwa wanapita upande wa pili kiulaini bila kukaguliwa.
Nenda singita kaa wiki moja kwenye Exclusive-Use VillaMil 700 akalia bata? Bata Gani ya mil 700. Au ni mil 70???😂
Una uhakika gani kuwa manji alikuwa anakula ungaKwamba Manji alikua anakula makapi? Thubutu
Unanibishia mimi dada akeUna uhakika gani kuwa manji alikuwa anakula unga
Hichi kipande ndo kimeharibu mtori wooote daaaah mambo ya form one haya 😂😂😂😂yaani anasema airport maaskari wanamkimbilia mtuhumiwa mmoja wanaachia wazi lango hao wengine wanapita
na anadai huyo anaekimbiliwa anakua na mzigo mdogo
🤣🤣🤣🤣 too many movies asiangalie tena movie
Toka liniUnanibishia mimi dada ake