Ukitaka kujua haya jiulize swali hili.Kwanini waalimu wengi mara wapandapo vyeo na kua maafisa ndio huwa mstari wa mbele kunyanyasa wenzao?baada ya muda mfupi tu anasahau kuwa anapaswa kuwahudumia wengine;Hebu acheni tabia mbaya ndio maana hata hamnenepi kwa sababu ya roho ya korosh.
Magufuli ni CCM na CCM imezoea kutenda hayo.Sasa amuombe radhi nani?Hiyo ni dalili za chama kufilisika kisiasa,sasa sakata la kuuza nyumba za serikali ndio linaibuka;Kama CCM ni wapenda haki kwanini waseme haya baada ya hili kutokea?Hili linaonesha kwamba kuna mengi mabaya yamejificha ila kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.