Bange yawatokea puani wasomi UDOM

Bange yawatokea puani wasomi UDOM

msako uliofanywa kitivo cha Elimu na kitivo cha sayansi ya jamii.,sanaa na lugha ulipelekea kuwatia nguvuni vijana kumi...ambao ni
Kitivo cha Elimu

Josephu jona(27
Mwakasitu ikwisa(29
Hamisi issaka(25
Shaban saidi(25 wote ni mwaka 3.
Stambuli Rahim(22 mwaka wa 2.

Kitivo cha sayansi ya jamaii,sanaa na lugha ni.
Mutongore Filbert(27
Samweli Seiboko(24
Ahmed Abdulazizi (20
Nkembo boniface(24 wote hawa ni 3yr.
Walipopekuliwa walikutwa na Misokoto 16 ya bange.
Wasom
hivi kumbe hadi udom kuna wasomi.!!!?
 
msako uliofanywa kitivo cha Elimu na kitivo cha sayansi ya jamii.,sanaa na lugha ulipelekea kuwatia nguvuni vijana kumi...ambao ni
Kitivo cha Elimu

Josephu jona(27
Mwakasitu ikwisa(29
Hamisi issaka(25
Shaban saidi(25 wote ni mwaka 3.
Stambuli Rahim(22 mwaka wa 2.

Kitivo cha sayansi ya jamaii,sanaa na lugha ni.
Mutongore Filbert(27
Samweli Seiboko(24
Ahmed Abdulazizi (20
Nkembo boniface(24 wote hawa ni 3yr.
Walipopekuliwa walikutwa na Misokoto 16 ya bange.
Wasom
hivi kumbe hadi udom kuna wasomi.!!!?

Kumbe udom hakuna wasomi ha ha ha udm ni kijiwe
 
Na mimi nilihisi kuna jambo wanalitafuta, wapate kusema udom ni wavuta bangi ndio maana wanagomagoma. Nonsense

Wewe acha kutetea uovu, sasa kama wamekamata watu wote hao watuwasiconclude? au hujui siku zote explanation za maisha ni matokeo ya inference iliyofanywa kutoka kwenye sample (sehemu ndogo ya population)? hii ndo sample yetu ya wana udom na hvo kwa kurely kwenye sample hii watu wanaconclude kama ulivoona.

BTW kama wewe ni mhusika utajijua mwenyewe, uache mibangi ili usipostiwe hapa tena, hata aibu huna msomi mzima unatetea mibangi??????????
 
nimesoma thread nyngne humu mpaka matapeli wamo.waliwachangisha wananchi eti kulikuwa na ujio wa SDA YA RWANDA.
Udom kama yote haya kweli ni hatari zaidi.
 
Nili happen kuwakuta askari polisi kipindi flani hivi wakichacha wanaenda kuomba feza kwa ma "pusher". Interesting kwa kweli.
 
ule moshi WA BANGE ulileta radi pale social....bange na GPA ZA UDOMAA
 
Waacheni wavute Bangi zao kama zinawasaidia mbona nyiemwalewa.
 
usalama wa taifa au usalama wa magamba?

Nakubaliana na wewe Msarendo kuwa tuna usalama wa Magamba na sio wa Taifa kwani tungekuwa na usalama wa Taifa tusingekuwa na mawaziri wanaovuta bangi; vetting ingefanyika na wasingefuzu unless mkweree anadharau ushauri wao!!
 
Yule Shabani kwenye top 3 ya uongozi wa UDOM naye anavuta ganja.
 
Wewe acha kutetea uovu, sasa kama wamekamata watu wote hao watuwasiconclude? au hujui siku zote explanation za maisha ni matokeo ya inference iliyofanywa kutoka kwenye sample (sehemu ndogo ya population)? hii ndo sample yetu ya wana udom na hvo kwa kurely kwenye sample hii watu wanaconclude kama ulivoona.

BTW kama wewe ni mhusika utajijua mwenyewe, uache mibangi ili usipostiwe hapa tena, hata aibu huna msomi mzima unatetea mibangi??????????

Who said natetea bangi? Mbona unatokwa povu jingi hivyo? Tulia, soma vizuri nilichoandika tangu mwanzo.

Rudi shule ukafundishwe sampling upya. Ila kwa kifupi, sample ya watu 16 kati ya 20,000 ni irrelevant.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom