Wanafunzi wa kitivo cha elimu wamekutanika katika moja ya majengo ya hostel linaloitwa block F.
Mkusanyiko huo ambao umehitimisha kwa makubaliano kua wakutane kesho sa11 alfajiri kuelekea utawala,una lengo la kushinikiza utawala kuwapa hela zao ambazo walitakiwa kupewa tangu tar 16 ya mwezi Desemba 2011.
Mkusanyiko huo ambao umehitimisha kwa makubaliano kua wakutane kesho sa11 alfajiri kuelekea utawala,una lengo la kushinikiza utawala kuwapa hela zao ambazo walitakiwa kupewa tangu tar 16 ya mwezi Desemba 2011.