Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
CDM haifiki 2015
2015 mbona mbali sana?
Mrithi wa sheeh yaya hongera kwa utabiri wako.CDM haifiki 2015
Hata mimi nimejiuliza, kuna watu wanautumia uhuru wa JF vibaya, kwani aliona shida gani kutoa sababu kwamba ni kwanini haitofika 2015 ili tuanzie pa kujadili?non sense
this is not enough to be a topic
Unajuwa za tetesi huwa zina pa kupelekwa, hii sijui ina angukia wapi?Mrithi wa sheeh yaya hongera kwa utabiri wako.
Mkuu CDM inatisha hata kule vijijini vijana wa CDM wameingia, hawa jamaa hawalali wanakaa macho, matumbo moto sijui watachomokea wapi????????? Watu sio wajinga wameisha jua siri zao zote na wizi wao wote kutoka humu si rahisi!!!!!!Majibu ya uchaguzi wa serikali za mitaa ni ni majibu tosha Sumbawanga!!!!!!! Mabossi wenu waanze kutafuta mahali pa kwenda lakini dunia sasa ni kijiji watakimbilia wapi????????? Hao mabossi wenu hana mahali pa kwenda wangoje kwenda hawana wangoje lupango kujibu mashitaka ya wizi na ufisadi tuu!!!!!!!!!!!!!Vijana wa NAPE wanakazi sana humu JF. Kila siku wanaiota CDM, wanamuota Godbless Lema, Slaa, Mbowe, etc. Lakini napenda niwakumbushe kazi waliyopewa ni ngumu sana ndiyo maana hata Salva Rweyemamu siku hizi ameichoka. Haandiki tena Makala, maana hoja zilizopo kwenye ulingo wa siasa zinaibeba CDM!
Hongera kwa kufanya Surgery ya Ngozi na kuwekewa Ngozi ya Kitimoto
2015 mbona mbali sana?
Ngozi ya kitimoto! Si atakuwa kama mzungu?