Recent content by sekitova

  1. S

    Hemed amponda jaji Ian Tusker Project Fame

    hata mimi kiukweli sikumfurahia hata kidogo,unajua yule kijana amezidisha maringo na dharau....sijui angekua mwanamke angekuaje?kwel anatakiwa abadilike maana naona umaarufu unampeleka pabaya!!
  2. S

    Nimechoshwa na maisha ya upweke

    pole sana kaka,naiman mungu atakusaidia...ila usisahau kuwa makin pia katika hilo
  3. S

    Nimfanyaje huyu house girl wangu

    kweli wewe huna haya!!pongez kwa huyo house girl maana yawezekana ndo ungefanya mazoea!!
  4. S

    Kuhudumia Mwanaume Kabla ya Kuoana.

    <br /> <br /> na kweli maana wengi wanazan matatizo ni lazima yawe kwa wanawake tu na wao wanakua wagumu kweli na kujisahaulisha kuwa hata wao wanaweza kuwa na matatizo,kila siku mwanamke ndo amekua kiumbe wa kukandamizwa,wabadilike hao vidume,tumechoshwa na tabia zao!!ni vema wote kupima...
  5. S

    Komba Bungeni

    teh teh teh,kwel anatia aibu.!!
  6. S

    Hatakupenda sitamani, utamu wa mapenzi umekula kwangu mimi..nahama Dar kujikomoa

    <br /> <br /> teh teh teh....!!!mbaya sana mwanaume kulelewa
  7. S

    Am so frustrated and in the big dilemma! I need ur help plzz!

    <br /> <br /> hujui eeeh,lazima uandike ripot ya ulichokifanya ukiwa fild!!
  8. S

    Simpendi Dada Yangu!

    jaman comment zingine tuwe tunaangalia,unaweza kuta unabomoa badala ya kujenga,hawa watu ni ndugu na ameshakwambia dada yake hana matatizo ila yeye ndie mwenye tatizo nae.mimi nazan ni vizur ukaonana na washaur maana inaweza kuwa ni phychological problem na ishajengeka ndan yako...muombe sana...
  9. S

    Namuogopa sana lizy!

    kwel hii inafurahisha....pole eeeh kaka!
  10. S

    Kitimtim Bungeni: Wenje atolewa nje ya Bunge

    hata mimi nilishuhudia hicho kizaazaa ila mwisho wa siku wakanikatia umeme kama nyie,nikajaribu kuwasha redio nako mambo yakawa yale yale hakuna kilichokua kinasikika...!labda tuchek baadae kwenye habari,mimi nahisi kama tanesco walifanya makusudi kutokana na iyo ishu!!
  11. S

    Ofisini kwa bosi..bafu na kitanda vya nini?

    mmmh.,..kwel mambo mengine ni ufuska
  12. S

    Mkutano wa CCM Mbeya

    mmmh..!
  13. S

    Alibakwa na babaake!!!!

    pole sn first born..,ila hongera sn maan umeonyesh kwel unamapenz ya dhat kwe mwenzio,msamehe tu mkweo maana huna jinsi ndo mama mzaa chema ipo siku atakuja elewa vzr kilichokua kimetokea huko nyuma!japo alikosa utu na kujisahau kuwa pamoja na yote bado yy ni mama tu!
  14. S

    ni kwel huyu mwanaume anamapenz na mm??

    jaman mm nashindwa kuelewa,...uko humu ndan kwa ajil ya kucoment lugha za watu or kuchangia mada.??km unakua hujisikii ni bora ukaacha bt sio kujiona uko much perfect than others!!mbona wenzako wanachangia vzr tu...?iweje hayo uyaone ww tu!!
  15. S

    Nina mapenzi ya dhati nae,mapenziii %%%%

    ni kwel bro...coz hakuna k2 kibaya km kuforce luv....and then usipende kumfanyia m2 kitu ambacho hutopenda kuja fanyiwa na ww baadae,i mean kuuvunja uhusiano wa2
Back
Top Bottom