wahida
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 385
- 125
na huko tz kuna mambo ? la kwanza acha showing off kwa mademu , la pili hayo ni maisha yako , then kuna maradhi, na hao wanakutamani ,, tu nahisi kua muazi wewe n man unatka kuja kua na majukumu ya future yako ,usiwa pe nafasi kufuja maisha yako ,waepuke wanawake kama hao ,kama watakufata usiwe rud ,just wambie ukweli tu , kama huko tayari ,epukana na watu kama hao . watu wasio kua na kimeme, jina lako SABRI kama sikosei sasa kua na subraaa kama jina lako,,