<br /><p style="text-align: center;"><br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34763&d=1312280715" border="0" alt="" /></p>
<br />huyu hapa kaamka<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34793&stc=1" attachmentid="34793" alt="" id="vbattach_34793" class="previewthumb size_fullsize" />
<br /> <br / hahahahaaaaaaaaaa akiwa kaamka ndo mrembo zaidihuyu hapa kaamka<br /> <br /> <img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34793&stc=1" attachmentid="34793" alt="" id="vbattach_34793" class="previewthumb size_fullsize" />
Kwani keshaamka?
Nawaonea huruma wananchi wa jimbo la Mbinga, yaani ndo kawakilisha hivyo!Mpelekeni kwenye kwaya huyo analinganisha nini sasa hivyo?
<br />Nawaonea huruma wananchi wa jimbo la Mbinga, yaani ndo kawakilisha hivyo!
nahisi alikuwa anajikuna sikio lake la kushoto kwa pamba/kidole.matokeo yake ile raha ya kujikuna ikamlegeza-akalegea mpaka mdomo.naona viudenda vya mate kwa mbaaaaaali.Hahhahahah alisema bungeni hawaendi kubeba zege kumbe kazi ndio hiii? Hapo akiamka tu anakumbushia kiinua mgongo chake cha unaibu waziri mkuu.
Ina maana tuna barabara nyingi sana zenye lami (kmwise) ukilinganisha na nchi hizo?nyoosha sentenso.
Dah, nimecheka sana mkuu