Tumaini Jipya
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 379
- 125
<br />tatizo ni tz media....<br />
mtu hana genuine talent but anakuzwaa mno.....
sawasawa mkuu,media zetu zina michezo michafu,si unaona kama wanavyo m-promote Chid Benz,hasa Eatv,wanatujengea picha kwamba jamaa ana kipaji saaaaana wakati mm naona kawaida tu!!
Sasa hata huyo Hemed atakuwa ametunishwa kichwa sana na Misifa hewa aliyopewa to the extent hataki kukubaliana na hali halisi!!!