Recent content by Sebali

  1. S

    Rushwa ya ngono vyuoni

    Rushwa ya ngono haiwezi kuisha, dada zetu wenyewe ndiyo wanaipenda ili mambo yao yaende kirahisi!
  2. S

    Kipi kinakukera katika elimu ya tanzania?

    kinachonikera ni viongozi wetu kujifanya wamesoma sana, hivyo kuingilia kila idara wakati viongozi wenyewe ni mamburula!
  3. S

    Natamani!

    Natamani 2015 ifike mapema ili tufanye mageuzi ya kisiasa ambayo hayajawahi kufanyika tangu uhuru hapa tz natambua tuna vijana wengi walioelimika wanaohitaji mabadiliko lazima tulete mapinduzi ya kisiasa 2015!
  4. S

    cHeKA kiDoGo tuuu, inatosha sana

    Nimekubali mkubwa!
  5. S

    Msaada wa kisheria tafadhari!!!

    Nashukuru sana bwana Jamuhuri huru kwa ushauri wako!
  6. S

    Msaada wa kisheria tafadhari!!!

    Mimi ni mtumishi wa sekaliri, nipo masomoni kwa sasa lakini mara tu baada ya kuanza masomo yangu nilikatiwa mshahara lakini nashanga 'salary slip' zinaendelea kutoka huku mshahara nikiwa sipati. Walinikatia huo mshahara baada ya mimi kwenda masomoni huku nikiwa sina barua ya ruhusa ingawa...
  7. S

    Ulevi tilalila

    Du, pombe balaa!
  8. S

    Wasemao na waseme

    Tabasamu balaa!
  9. S

    Form iv safi?

    Napenda kuwatakia mtihanini mwema form 4 wote. Ni mategemeo yetu mtakuwa mumejiandaa vizuri kupambana na huyu jamaa asiyependwa na wengi hapo j3. Zimebaki sekunde za mwisho za kuangalia jinsi ya kucheza na huyu jamii hivyo nawatakia ushindi mkubwa pasipo kucheza rafu.
  10. S

    Nipo njia panda!!!!

    <br /> <br /> Ah!taratibu bwana,mimi nimeolewa kwani ngono kazi siyo mpango siku hizi,huwezi ukapenda chakula ambacho hata ladha yake huijui,nadhani wewe pande hizo bado mgeni
  11. S

    Nipo njia panda!!!!

    Nashindwa kuamua ni njia ipi ya uzazi wa mpango nitumie,kwani zinazofaa zote zina madhara makubwa,sindano naogopa kitambi,kitanzi maumivu ya tumbo na kansa,kondom ikipasuka ni hatari na zingine zinawasha,vidonge adhabu kunywa kila kukicha,kila njia inamadhara.hapa nilipo nina watoto wawili...
  12. S

    Champion Bus yaua watu 8

    Siku zote ajali ikitokea watu huanza kutafuta nani kasababisha,kinachotakiwa ni kuwaombea tu marehemu pamoja na kuwafariji wafiwa.you should all know that life=to death.so be prepared and keep ua souls clean
  13. S

    Green na Brown cards za Bima ya Afya (NHIF) mnazielewa?

    <br /> <br />Hili suala linatengeneza matabaka miongoni mwa wagonjwa. Ni vizuri wanachama wote tungekuwa tunatumia cards za rangi moja.
  14. S

    Naomba mnisaidie

    Madhara ya tetenus huweza kusababisha kifo. Nina ndugu yangu alifariki baada ya kuchomwa na msumari mguuni na kucheleweshwa kufikishwa hospitali!
  15. S

    Ushauri Tafadhari!

    Nashukuru kwa mchango wenu wakuu, nitaufanyia kazi!
Back
Top Bottom