nijuavyo tetanus ni ugonjwa unaosababishwa na bacteria aina ya clstridium tetani ambao hupatikana ktk mazingira tunayoishi na wengine wanasema hasa ktk jamii za wafugaji . they are anaerobic bacteria ie grow well in low oxygen environment. kwa hiyo ukipata injuries like, burn injury,sharp objects, nail pricks (deep) etc caused by unsterilized/contaminated objects ,these bacteria grow and release toxin which spreads along the neurons to the central nervous system where it binds to gangliosides and suppresses release of inhibitory neurotransmiters resulting into muscle spasms hence tetanus. death usully results from inability to breath
kama ukichomwa na msumary unaokidhi sifa hizo hapo juu unapaswa kupata sindano ya tetanus texoid ie TT kama hujawaki kupata zaidi ya ile ya utotoni au ulipata zaidi ya miaka 10 iliyopita au kama huna uhakika pia unaweza kupata coz haina madhara kivile ukilinganisha na tetanus yenyewe. ni hayo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.