Wasemao na waseme

Wasemao na waseme

Babylon

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
1,332
Reaction score
86
Msiharamie nywele tu ,na hizi sehemu zilizo nyepe nyepe zinataka Uangalifu na matunzo zaidi.

http://stopsweatingfast.com/

Nipe nikupe.jpg
 
hana hata pozi lakuwa kwenye gari! mchafu kuliko gari! au kapanda kupiga picha tu!
 
Tuache tabia za kizungu kuchukia jasho,hatuwezi jua mazingira ndani ya gari na pia ni kidogo sana sidhani kama mnamtendea haki black beauty wangu.
 
hii picha sijaelewa imefuata nini kwenye mtandao
kuna mtu kaumizwa na hivi ni visasi nini?
nahisi mwenye picha hayuko hivyo kwa sasa mtoa picha anaweza kuwa na vita hapa
 
hii picha sijaelewa imefuata nini kwenye mtandao
kuna mtu kaumizwa na hivi ni visasi nini?
nahisi mwenye picha hayuko hivyo kwa sasa mtoa picha anaweza kuwa na vita hapa

Inaelekea una fahamu zaidi ya hili bandiko...
 
hii picha sijaelewa imefuata nini kwenye mtandao
kuna mtu kaumizwa na hivi ni visasi nini?
nahisi mwenye picha hayuko hivyo kwa sasa mtoa picha anaweza kuwa na vita hapa

I think so.
 
Hii picha ina maana gani kuletwa hapa jf. Upuuzi mtupu.
 
Nimegundua kitu humu ndani. Wa kina dada wana thread zao. Ukitaka kuwabamba we ongelea infidelity za wanaume, utapata michango mpaka ukome kurudia. Angalia kwenye hii kitu, wote wame mute utadhani redio iliyokosa umeme au betri. Kwa nje tu huyu jamaa anaonekana mchafu, wala huhitaji kuhangaika kujua kuwa kuoga kwake ni kama kwenda kituo cha polisi
 
Kwani kuna tatizo gani kwenye hii picha na kwa huyu dada? Ukifilisika kimwazo,ukiwa huna kazi ya kufanya ndio matokeo yake haya...
 
Back
Top Bottom