Recent content by scot

  1. S

    Takriban wiki ya pili sasa hatuoni dalili ya yeye kutafuta hata shughuli, yaani yupo tu

    Hujafikia uwezo wa kukaa au kuishi na familia wewe...unamdhalilisha mkeo na mwanao
  2. S

    Sefue: Watumishi wa umma kuanza kuvaa sare zenye majina yao wawapo kazini

    Kwa hali ya nchi yetu ilpofkia sas ndicho knachohtajika hikoo..
  3. S

    Kwa ratiba hii ya masomo vyuoni, Ijumaa hakuna kusali

    Joining instructions na sheria za chuo ulsoma vzur kabla kujiunga na chuo lakn.?kna wanafnya mitihan hadi j'mosi,wasabato wakamind..wakaambiwa wakaptie tena joining instructions na sheria za chuo
  4. S

    Kibamba amemshauri Rais wa Zanzibar kutohudhuria Bungeni leo

    Umeongea points mkuu...wew unaonesha ni muislam safi na unaijua dini vzuri..hujaegemea upande wowte ndivyo inavyotakiwa hvoo ata mbele za bwana
  5. S

    Mbowe atuhumiwa kuhamisha mabilioni

    Usilitaje buree jina la mungu wako...kam ww ni muislam au mkristo,mungu ni m1 hakna mwngne zaid yake..usmfananshe mungu na vitu vya kipuuz
  6. S

    Kumbe ni kweli yanga ni tawi la ccm-nimejitoa rasmi kusapoti leo

    Acheni siasa na michezo..mnapoelekea sas pabaya ni zaid ya kampeni..mkuwe basi
  7. S

    CCM: Magufuli yupo tayari kwa Midahalo; tuna kila dalili ya Ushindi

    Yeaah'hiyoo point ya msingi saana..mdahalo wa wagombea uraisi ndo kila kitu..apo ambao hatuna chama ndo tutajua nani mkweli nani myeyushaji,nimpe nan kula yang October 25..tushaona hadi akina David Cameron wakifanya mdahalo ya wazo kwnye vyuo mbalimbali kipind cha uchaguzi na watu wanaulza...
  8. S

    Akifa mama yako mzazi au mke/mume wako yupi utaumia sana? Kuwa mkweli

    Weee jamaa unaleta uzi gani huoo..unakuja kumfanansha mama ako na mkeo umu...bila mama ako,uyoo mkeo angekujua ww
  9. S

    Nahisi Reginald Mengi ni billionaire wa (U$ dollars)

    Mengi anatoa msaada kwa kujionyesha mbele ya jamii kam show off
  10. S

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwa kweli pengo la striker limeonekana wazi pia depay na carrick game ijayo kam wangeanzia bench vile..
  11. S

    Naanza kuona dalili ya serikali ya mseto

    Ni kweli ila ndicho knachohitajika kwa sas coz tumeona hilo Kenya na nazani umeona Kenya wapo wapi mpaka sas..angalia zanzibar,uozo unaofanyika uku bara tofaut kabsa na zenji..
Back
Top Bottom