Joining instructions na sheria za chuo ulsoma vzur kabla kujiunga na chuo lakn.?kna wanafnya mitihan hadi j'mosi,wasabato wakamind..wakaambiwa wakaptie tena joining instructions na sheria za chuo
Yeaah'hiyoo point ya msingi saana..mdahalo wa wagombea uraisi ndo kila kitu..apo ambao hatuna chama ndo tutajua nani mkweli nani myeyushaji,nimpe nan kula yang October 25..tushaona hadi akina David Cameron wakifanya mdahalo ya wazo kwnye vyuo mbalimbali kipind cha uchaguzi na watu wanaulza...
Ni kweli ila ndicho knachohitajika kwa sas coz tumeona hilo Kenya na nazani umeona Kenya wapo wapi mpaka sas..angalia zanzibar,uozo unaofanyika uku bara tofaut kabsa na zenji..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.