sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Nikiwa kama kichwa cha familia, nyumbani kwangu ni sheria zangu, na linapokuja swala la sheria kwa wageni huwa zimekazwa mno kwa wageni wa kiume ambao ni miaka 28+ maaana hawa tayari ni wanauume na asili yetu ni kupambana ili kujitegemea......changamoto za kimaisha na harakati za kiupambanaji wakati mwingine zinapelekea kujikwaa lakini ni mwiko kukata tamaa kusimama kwenye asili yetu huku mipango na malengo vinabakia vichwani mwetu.
Ni takribani wiki 2 zilizopitata nilipata ugeni wa kaka yake mke wangu mwenye miaka 33
Alifika mida ya saa 2 bila taarifa na niwe muwazi kwamba hata mgao wa chakula ulivurugika, namjali sana house girl wangu namchukilia kama mwanafamilia na wife alikuwa kapata ugeni, hivyo ilibidi niende kula mgahawani.
Usiku ule ule tukiwa chumbani nilikuwa namhoji wife kwanini ndugu yake kaja bila taarifa ila nikapotezea nikijua labda atakaa siku 2 au 3.
Kuna vyumba vya wageni vimejitenga na nyumba kuu ndiko tulipompa hifadhi, na choo / bafu ni humo humo.
Sasa ni takriban wiki ya pili sasa hatuoni dalili ya yeye akitafuta hata shughuli, yani yupo tu.
Wife akimuuliza hali, yeye anasema kaja kutusalimia huwa nabaki kukuna kichwa tu
Asili ya sisi wanauume ni kujitegemea......changamoto za kimaisha na harakati za kiupambanaji wakati mwingine zinapelekea kujikwaa lakini ni mwiko kukata tamaa kusimama kwenye asili yetu huku mipango na malengo vinabakia vichwani mwetu
sasa navyomoona mwanaume mwenzangu yupo comfortable na hali ya kuwa tegemezi na hana tatizo lolote la kumfanya asishughulike, binafsi najisikia vibaya.
Ni takribani wiki 2 zilizopitata nilipata ugeni wa kaka yake mke wangu mwenye miaka 33
Alifika mida ya saa 2 bila taarifa na niwe muwazi kwamba hata mgao wa chakula ulivurugika, namjali sana house girl wangu namchukilia kama mwanafamilia na wife alikuwa kapata ugeni, hivyo ilibidi niende kula mgahawani.
Usiku ule ule tukiwa chumbani nilikuwa namhoji wife kwanini ndugu yake kaja bila taarifa ila nikapotezea nikijua labda atakaa siku 2 au 3.
Kuna vyumba vya wageni vimejitenga na nyumba kuu ndiko tulipompa hifadhi, na choo / bafu ni humo humo.
Sasa ni takriban wiki ya pili sasa hatuoni dalili ya yeye akitafuta hata shughuli, yani yupo tu.
Wife akimuuliza hali, yeye anasema kaja kutusalimia huwa nabaki kukuna kichwa tu
Asili ya sisi wanauume ni kujitegemea......changamoto za kimaisha na harakati za kiupambanaji wakati mwingine zinapelekea kujikwaa lakini ni mwiko kukata tamaa kusimama kwenye asili yetu huku mipango na malengo vinabakia vichwani mwetu
sasa navyomoona mwanaume mwenzangu yupo comfortable na hali ya kuwa tegemezi na hana tatizo lolote la kumfanya asishughulike, binafsi najisikia vibaya.