- Thread starter
- #21
Magufuli atakuwaje waziri mkuu wakati sio mbunge...?
Suala la waziri mkuu kuwa mbunge ni kwa utatatibu wa sasa lakini inapotokea mambo ya siasa yanakuwa ni maridhiano basi huwa kuna mambo yanayokubaliwa kama nje ya utaratibu, rejea kenya kwenye katiba yao hakuna waziri mkuu lakini ilibidi wakubaliane na waziri mkuu akawepo baada ya miaka mitano wakarudi kwenye utaratibu wao wa kawaida