Nafikiri kumsindikiza kwako mkuu ulikua unasimamia ule msemo wa " Ukimkuta mtu anaabudu punda unampelekea na majani"
Sent using Jamii Forums mobile app
hizo sehemu ulizotaja watu wanafanya kazi kwelkwel ila sasa kula yao ndo hatar. Hukawii kumkuta mtu anakunywa chai vikombe vinne,vitumbua 10, bado na maharage alafu anakuja kumalizia na soda.
Mkuu Acha kutanguliza habari za Fadhira, Njia sahihi ni hii apeleke barua za ku-volunteer kwenye mashirika hayo. Hiyo itamsaidia kama ikitokea kuna miradi inakuja kwenye shirika itakua rahisi kwake sababu atakua tayari ana ujuzi wa kutosha kuhusu shughuri za miradi ya wahisani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.