Bado sielewi imekuwa kuwaje hadi Haji Manara akawa shabiki wa Simba

Manara mwenyewe kasema kuwa mtoto wake wa kiume ni shabik wa yanga kwaiyo ni mapenz tuu wengine hunza kupenda timu kutoka kupenda mchezaji mmoja tuu huwa hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mzazi wake hakumsogeza KARIBU na YANGA,,,ataipenda VP YANGA? HIVI UNAJUWA mtoto kabla hajalala USIKU ,,,MCHANA anacheza wapi?na akina nani?MANARA NI MTOTO WA KKOO,,,pengine michezo YAKE ilikuwa ni UWANJA WA SIMBA JANGWANI,,,,utajuwaje?kumbuka MOTO na MOTO hauzai MOTO,,, huzaa MAJIVU ,,, MKUU usikariri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haji Manara ni mtoto wa Sunday Manara " Computer " Legendary wa Dar Es Salaam Young Africans of all the time.

Haji Manara kama mtoto wa Legendary wa Dar Young Africans ambae almost utoto wake wote amekua akimshuhudia baba yake kama Mchezaji wa kutegemewa wa Yanga, nilitegemea angekuwa shabiki wa Yanga but I am.surprised that imekuwa the opposite.

Ni sawa na mtoto wa Sheikh Mkuu wa mkoa kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa.

Watu wengi tunao shabikia Simba na Yanga ni kwa sababu tumewakuta baba zetu wakishabikia timu hizo. Tumerithi kama dini vile.

Mimi ni shabiki wa Yanga kwa sababu nimezaliwa nikimkuta baba yangu ana shabikia Yanga.

Na mimi nikaanza kuipenda Yanga kwa sababu ya kumfuata baba.

Every member of our family is royal to Dar Young Africans.
We are royal to Yanga probably because we are loyal to our father.

Mwaka 97 nikiwa darasa la sita nikaanza kuishabikia Arsenal. I introduced Arsenal to my father soon there after and he started to support Arsenal instantly probably because he was reciprocating my royalty to him.

Back to Haji Manara . Unaweza kutolea maelezo hili? How comes baba ako alikuwa Legendary wa Yanga halafu umekuwa shabiki na msemaji wa Simba.

This is not royal bro.

Mimi niliipenda Yanga simply kwa sababu baba yangu alikuwa shabiki wa Yanga seuze wewe ambae baba yako alikuwa anaichezea kabisa Yanga!!!

Whats up bro?


Halafu ukitumia kiswahili unaandika vizuuuuuri ila sasa ukiingizia kakingereza hapo unaboronga.... Hilo neno ROYAL ulilotumia ulitaka liwe na maana kama ya neno LOYAL au ndio kujifunza kutamka kwa lafudhi ya lugha yenu ya kisandawe kabla ya kujua spellings za neno


Tunajua una hamu ya kujua kingereza, na yumkini huenda mtaani kwenu wewe ndio msomi,ila unapokuwa sehemu unayoamini wapo vipanga waliokuzidi basi tumia lugha ambayo upo vizuri zaidi la sivyo unajishushia credits, sawa sawa mr ROYAL instead of LOYAL?
 
Halafu ukitumia kiswahili unaandika vizuuuuuri ila sasa ukiingizia kakingereza hapo unaboronga.... Hilo neno ROYAL ulilotumia ulitaka liwe na maana kama ya neno LOYAL au ndio kujifunza kutamka kwa lafudhi ya lugha yenu ya kisandawe kabla ya kujua spellings za neno


Tunajua una hamu ya kujua kingereza, na yumkini huenda mtaani kwenu wewe ndio msomi,ila unapokuwa sehemu unayoamini wapo vipanga waliokuzidi basi tumia lugha ambayo upo vizuri zaidi la sivyo unajishushia credits, sawa sawa mr ROYAL instead of LOYAL?
K
 
Cha ajabu hapa hakuna hata mmoja anayelipia fee yake ya uanachama huko Simba/Yanga ila wote mnasema mnazipenda hizo timu.

Tofauti kati ya Mpenzi vs Mshabiki inabidi iwekwe bayana.
Mpenzi ndiye mshabiki, na mpenzi ndiye mwanachama. Kama hupendi huwezi kuwa mwanachama, kama hupendi,na huyumshabiki hawezi kuwa mshabiki pasi kuwa mpenzi.

Ila yote kwa yote mshabiki ndiye mwanachama wa baadae pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpenzi ndiye mshabiki, na mpenzi ndiye mwanachama. Kama hupendi huwezi kuwa mwanachama, kama hupendi,na huyumshabiki hawezi kuwa mshabiki pasi kuwa mpenzi.

Ila yote kwa yote mshabiki ndiye mwanachama wa baadae pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe unalipia fee ya uanachama wako hapo Simba/Yanga?
 
Halafu kuna wakati alikuwa anakata maji sijui siku hizi!

Sent using Jamii Forums mobile app
anakula "vyombo" kama kawa ila kwa kificho sana.

kuna siku niliwahi kumfumania zanzibar ndani ya night club fulani hivi, mkononi alikuwa kashika chupa ya heineken beer. siku hiyo alikuwa amechangamka sana.

kiufupi haji ni mtu wa bata sana, si unajua tena vijana waliozaliwa/kukulia kariakoo.
(watoto wa mjini).
 
Haji Manara ni mtoto wa Sunday Manara " Computer " Legendary wa Dar Es Salaam Young Africans of all the time.

Haji Manara kama mtoto wa Legendary wa Dar Young Africans ambae almost utoto wake wote amekua akimshuhudia baba yake kama Mchezaji wa kutegemewa wa Yanga, nilitegemea angekuwa shabiki wa Yanga but I am.surprised that imekuwa the opposite.

Ni sawa na mtoto wa Sheikh Mkuu wa mkoa kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa.

Watu wengi tunao shabikia Simba na Yanga ni kwa sababu tumewakuta baba zetu wakishabikia timu hizo. Tumerithi kama dini vile.

Mimi ni shabiki wa Yanga kwa sababu nimezaliwa nikimkuta baba yangu ana shabikia Yanga.

Na mimi nikaanza kuipenda Yanga kwa sababu ya kumfuata baba.

Every member of our family is royal to Dar Young Africans.
We are royal to Yanga probably because we are loyal to our father.

Mwaka 97 nikiwa darasa la sita nikaanza kuishabikia Arsenal. I introduced Arsenal to my father soon there after and he started to support Arsenal instantly probably because he was reciprocating my royalty to him.

Back to Haji Manara . Unaweza kutolea maelezo hili? How comes baba ako alikuwa Legendary wa Yanga halafu umekuwa shabiki na msemaji wa Simba.

This is not royal bro.

Mimi niliipenda Yanga simply kwa sababu baba yangu alikuwa shabiki wa Yanga seuze wewe ambae baba yako alikuwa anaichezea kabisa Yanga!!!

Whats up bro?
Baba yangu ni mwanachama miaka ile ya tisini alikuwa anakatisha ticket kwenye mazoezi ya Yanga uwanja Kaunda, nami nimehudhuria sana mazoezi na mechi za y Yanga miaka ya tisini, ghafla tu nikajikuta nashabikia Simba Sports Club

Tukirudi kwa Manara licha ya Babu yake mzaa mama kuwahi kuwa mwenyekiti wa Simba na Haji kurithi jina lake, kuna miaka Haji alilewa na Babu yake uyo kipindi ambacho Sunday Manara yupo nchi za ulaya anacheza soccer

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ni tofauti mimi familia yangu wote ni simba baba, mama na ndugu zangu wa kuzaliwa pia wale wote walio kulia kwa mzee wangu ni simba

mzee wangu kama simba inacheza huwa linapikwa pilau nyumbani soda, kuku kifupi ni sherehe. ana kofia zile zimeandikwa "simba taifa kubwa" basi huivaa siku iyo

mie nimekuwa shabiki ya yanga toka kwa baba mdg maana alikuwa akija anabeba zawadi huku mimi akinipa nguo za njano/kijani akisema mimi ni yanga dam dam.

nimekuwa hivyo nikiamini na kuipenda yanga hadi leo.

naona sasa ivi mzee anawarithisha wajukuu.maana nilirudi nyumbani nakuta siku ya mechi wote wamevaa simba huku pilau limeandalia wanaambiwa "njooni mle matunda ya kuishangilia simba"

yawezekana hajji alipata mtu/nduguye akamfanya aipende simba
Daaah wajukuu wamepata Babu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom