Ndo mfumo tuliona kwa sasa wa kibabe. Ni kweli wamefanya makosa lakini watu 9000 na mifumo yetu mtu mmoja anabeba watu zaidi ya watano. Sasa 9000×5 wakosa mahitaji. Busara ingetumika itafutwe njia nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.