Basi kila mmoja akijua ukweli wa mambo asimame yeye lakin najua ukamikifu na kutubu dhambi na kuziacha hakuna njia nyngine ya kuingia mbinguni uwe unaambudu kiss ww n SDA au mwislam kikubwa je, dhambi hutendi wengine wanajisifu kuwa kanisa lao nzuri lakn dhambi kibao jaribun kutafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.