Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,941
Sijawahi soma kitabu chochote ila natamani na ninapenda sana kusoma vitabut
Hakika umenenaQUR'AN NI KITABU PEKEE KIMENITOA KWENYE UJINGA NAKUNIPELEKA KWENYE NURU KIMENILETEA FAIDA KATIKA DUNIA HATA KATIKA BIASHARA YANGU
Umwnikumbusha Mbali Mkuu....hiki kitabu kiko vema sana!The Power of Positive Thinking-Dr Norman Vincent Pealle.
Safi Mkuu!Only Bible hayo mavitabu mengine yatakuvuruga akili
Mkuu ntajie hata viwili tu vya kijasus utakua umensaidia sanaNapenda vitabu vya kijasusijasusi ila vimeniharibu, nimegeuka mpelelezi mpaka ktk familia yangu, nikikata kona mbili tatu mtaa mtu au gari ikaelekea ninakokwenda naanza mashaka, kwa ufupi vimenijengea mashaka japo najifunza kila nisomapo.
Mkuu hicho kitabu ulichotajaYou Can Win.
Mkuu hicho kitabu ulichotaja
Kimeandikwa na Shiv khera..?
Kitabu kizuri sana tena sana.Yeeees bonge la moja la kitabu nakirudia kukisoma mara 10 10