Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,186
- 79,381
Ajiunge na channel nyingine kama ITV, Channel 10 na Star TV waanzishe king'amuzi chao? Mpango wa king'amuzi cha Continental uliishia wapi?
Naona umeshakuwa mmiliki wa chombo cha habari mzeeHapa kusaga aseme ukweli wadhamini ndo wamekimbia kudhamini vipindi na sio eti makampuni ya simu viewers wamepungua hapo katulisha matango pori anyooshe maelezo
Kivp kaka? Sheria zilizopo ni nzuri wenye ving'amuzi wanapaswa kuwalipa content provider! Hii ita-boost ama kutoa fursa kwa wenye kutengeneza vipindi kuanzia wenye comedy mpaka wenye movie mpaka wenye kuimba.sababu zako wala hazihusiani na kuathirika kwa biashara ya television nchini.
bado mainstream media ina nguvu sana... online tv na blogs sio sababu.
sababu inajulikana na inahusiana moja kwa moja na aina ya utawala uliopo madarakani hivi sasa nchini.
nikweli, mie nilijikita kwenye idadi ya watazamaji hasa mainstream media, si jinsi wanavyoweza ku control ving'amuz na wamiliki.Mkuu kama usipolipia kingamuzi channel zote zinakata na ukilipia ndo zinaanza kuonesha..unadhani watashindwa kugundua kuwa mda huu unaangalia tv au laa
Ukweli ni huu.. social media zinaua radio... Millard Ayo yuko juu sana kwa sasa kuliko mwajiri wake ...Wafunge tu coz hali imebadilika sana. Online tv zimekuwa nyingi mno,blogs, forums na vikorokoro kibao. Wakati huu unahitaji ubunifu wa hali ya juu sio mazoea. Zamani Radio kubwa zilikua Radio one, RFA, RTD. Leo hii kila kona kuna Radio na zinakimbiza. Tukubali hali imechange sana na TUKUBALI KUBADILIKA.
Social Media duniani imelenga ku replace Radio na TV station...... watz wako tayari kulala na njaa na sio kukosa bando la simuBado online TV kwa Tanzania si tishio' hatuna intenet ya uhakika, na kwa gharama za Internet mtu kutegemea online TV si rahisi. Nafikiri kuna tatizo kwenye sekta ya biashara kiasi kwamba wenye stations hawapati matangazo na wadhamini. Sekta za Biashara Zinategemeana sana ni kama mwili wa binadamu tu' ukiumwa na jino sana ujue utahisi na masikio yanauma, baadae utahisi kichwa pia Kinauma, baadae utahisi hata macho hayapo sawa ukiyafungua, mwisho kizunguzungu then mwili mzima Hoi.
Unalaumu utawala kwakuwa unatanguliza siasa mkuusababu zako wala hazihusiani na kuathirika kwa biashara ya television nchini.
bado mainstream media ina nguvu sana... online tv na blogs sio sababu.
sababu inajulikana na inahusiana moja kwa moja na aina ya utawala uliopo madarakani hivi sasa nchini.
Ndo mana nimekwambia kama mtu anaweza ku control uangalie or usiangalie tv...watu wawili mnaweza kuwa na king'amuzi kimoja but jamaa wanaweza ku kuntrol we wakakupa channel flani na flani mwingine wakamnyima...watu kama hao hawawezi kushindwa kujua uliwasha tv saa ngapi na ulizima saa ngapi na uliangalia channel gani...hawawezi kushindwa kujua mda huu clouds tv tanzania inaangaliwa na watu wangapi...hiyo ndo technology mkuunikweli, mie nilijikita kwenye idadi ya watazamaji hasa mainstream media, si jinsi wanavyoweza ku control ving'amuz na wamiliki.
Kilicho msaidia Kikwete japo kidogo ni kabachelor degree kake kauchumi,akawa anaheshimu misingi na miiko ya kiuchumi.
Asiilaumu serikali bali waliofungiwa local channels kwa kutofata sheria za leseni zao.Bosi wa Clouds Media amesema tangu kutokea changamoto ya local channels kuondolewa kwenye ving'amuzi vyombo vya habari hivo vimeathirika kwa kiwango kikubwa na hapo wanapenda kutoa ajira kwa vijana lakini wanakoelekea watakwama na kupunguza wafanyakazi.
Kusaga" wakati kupo kwenye ving'amuzi vyote zuku, startimes, Azam na DStv mfano makampuni Kama Vodacom, Tigo na Airtel walikuwa wanaona views milioni 1 wanakulipa fungu zuri kutokana na idadi kubwa ya watazamaji, lakini kwa sasa views wameshuka Hadi laki moja kwaiyo makampuni hayo yamekata bajeti zao na kukulipa kuligana na idadi ya watazamaji na huwezi kuwalaumu hata Kama wanakupenda lakini wanakulipa unachostahili Sasa kwa Hali hii wafanyakazi Hawa vijana wanafamilia tutawalipa vipi?
Maana yake hatuwezi kufika inabidi tuwapunguze japo tunawapenda". Kuna haha la kuniangalia upya suala hili.
Kusaga ameongeza hata wasanii wameathirika hawapati tena show nje kwakuwa hawaonekani Tena Kama zamani
View attachment 957913
Labda wa Dar es Salaam. Tembelea mikoa mingine ya Tanzania uone kama uchumi wao unawaruhusu kushinda online na hayo ma bundle unayosema.Social Media duniani imelenga ku replace Radio na TV station...... watz wako tayari kulala na njaa na sio kukosa bando la simu
no pintiWafunge tu!
Nakumbuka tundu lissu alisema hili mapema kama tuungane kukosoa ila hawa clouds hata press conference za lissu walikuwa hawaripoti!
Leo wameguswa wao ndio wanashtuka!!
Tutalimia meno na kila mtu ataguswa na atanena kwa lugha yake
Idiotno pinti
YelaIPO SIKU TUTAZUNGUMZA LUGHA MOJA
BTW SISHANGAI YALISHATABIRIWA MWANZO