Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

Kama una jibu lilio straight si unasema tu? Kama kila mtu angekuwa anajua kila kitu hii forum ingekuwa haina maana kabisa.
Kwahiyo kama hujui kila kitu ndio uandike kila kitu. Kama hujui nyamaza lkn sio kuandika tu eti mara chato oooh magogoni yaan bora kaandika tu
 
Ukweli hiyo Bustani ipo hapo ulipo na ndio maana kulia au kushoto kwako kuna mwanamke,sasa hao ndio wakina Hawa na Eva wako
 
Hoja ndiyo nimeshaijibu....Bustani ya Eden ilikuwepo Iraq
ilikuwa iraq baada ya gharika ya nuhu bustan ikafutika daaaah wengine wanasema ipo mlima nyang'oro wengine wanasema ipo kondoa kule kwa wakwe zake nanili
 
Nawaambia ukweli Wala cwafichi
Bustani ya Eden haijulikani ilipo
Mungu mwenyewe aliamuwa kuificha isionekane Tena
Asikudanganye mtu
Haijulikani ilipo
 
Back
Top Bottom