Uongozi wa Kijiji cha Kabwe, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa umeafikia uamuzi wa kuwaleta waganga wa kienyeji kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ili kuondoa mambo ya kishirikina yanayowaathiri wanafunzi wa kike katika Shule ya Msingi Kabwe.
Mwenyekiti wa kijiji hicho, Richard Madeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.