Aqua Man
JF-Expert Member
- Mar 17, 2017
- 336
- 1,146
Habari wana forum,
Mimi ni kijana mwanafunzi wa chuo kimoja hapa TZ, kiukweli nimekuja hapa kuwaelezea tatizo langu linalonisibu hivi sasa. Kiukweli nina shida ya kukosa kujiamini kabisa kwenye mambo tofauti tofauti kama kielimu na maisha ya kawaida, mfano kama kipindi cha examination ninakua na wasi wasi hata kwenye namba yangu ya mtihani ninayoandika nahisi kama nitakuwa naikosea.
Ushauri ndugu nifanye nini kuliepuka hili tatizo maana linanipa shida sana.
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Mimi ni kijana mwanafunzi wa chuo kimoja hapa TZ, kiukweli nimekuja hapa kuwaelezea tatizo langu linalonisibu hivi sasa. Kiukweli nina shida ya kukosa kujiamini kabisa kwenye mambo tofauti tofauti kama kielimu na maisha ya kawaida, mfano kama kipindi cha examination ninakua na wasi wasi hata kwenye namba yangu ya mtihani ninayoandika nahisi kama nitakuwa naikosea.
Ushauri ndugu nifanye nini kuliepuka hili tatizo maana linanipa shida sana.
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
