Tatizo umeexpose idia ukimaanisha unawashauri.Naushauri wako wameufanyia kazi unastahiki thanks na kama watataka kukushika mkono basi iyo ni option kwao.
Paypal ni popular kwenye payment hasa kwenye online marketing payment system.Kwa mimi nilichoambulia ni REFUND iliingia ndani ya siku 3 direct kwenye account CRDB.Kuna kampuni ya tetwork hapa bongo inapokea pasa kwa paypal nakawauliwa how majib ninkwamba et sasa inakubali...Kwakweli sijajua ki...
Mwenyezi Mungu haizurumu Nafsi ya mtu wala watu hawahukumiwa isipokuwa baada ya kufikishiwa ujumbe.Mungu anakua tusiyoyajua wala hana haja yakuuliza wewe ulifanya nini sababu habar zote anazo.Mwenyezi mungu anadil na moyo huo ndio unabainisha nini dhamira yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.