Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Ulishawahi kufa? kama jibu ni la, uhakika wa aina hii unaupata wapi?Wanadamu wanatumia ujanja ujanja kuwaaminisha watu ili wasiogope kifo.Kifo kipo na ukishakufa ndio mwisho wako,hakuna kwenda motoni wala peponi hizo zote ni kufarijiana. Swali la kujiuliza kuku,samaki n.k unavyowaua na kuwala huwa wanaenda wapi? jibu utakalopata hata binadamu ni hivyo hivyo.