Maisha baada ya kifo

Wanadamu wanatumia ujanja ujanja kuwaaminisha watu ili wasiogope kifo.Kifo kipo na ukishakufa ndio mwisho wako,hakuna kwenda motoni wala peponi hizo zote ni kufarijiana. Swali la kujiuliza kuku,samaki n.k unavyowaua na kuwala huwa wanaenda wapi? jibu utakalopata hata binadamu ni hivyo hivyo.
Ulishawahi kufa? kama jibu ni la, uhakika wa aina hii unaupata wapi?
 
Ha ha ha ha mkuu wewe ulishakufa?
Umeona mahali nimeandika kitu kinafanana na ulichoandika? Umeongea kana kwambwa ulishawahi kufa ukajua hakuna maisha baada ya hapo ukarudi. Kitu ambacho sio kweli. Unapotoa ushauri ni vyema ukawa makini maana unawajibika na ushauri wako!
 
Umeuliza maswali sahihi, lakini sehemu yenyewe ndio chaka! Tafuta mtu serious ujadili naye heart to heart kama lengo ni kupata majibu. Hapa utaishia kuwa confused...

My gentleman advice!
asante kaka ila nahisi pia humu wapo watu serious ,,,
 
1.Kwanza ufahamu dini imeanza zamani mno kutoka kwa Adam mpaka watu wa sasa na mitume karibuni laki moja na ushei imekuja duniani kuhubiri ni jinsi gani mungu anahitaji viumbe wake waishi hapa duniani lakini pia na kuwapa elimu tosha juu ya maisha yao ya sasa na baada ya kifo. Lakini inasemekana kutakuwa na vizazi ambavyo havikupata ujumbe wa mungu kwasababu mbali mbali hawa wanahukumu zinazoendana na ujuzi wao maana mungu hawezi kumhukumu kiumbe chake katika hali ya ujinga. Mkuu mimi ni mwislam, moja katika mafunzo niliyowahi kufunzwa katika dini ni kwamba. Unapofanya baya moja yaani dhambi linachukuliwa moja kama lilivyo, kama ulikuwa na nia ya kufanya baya lakini kutokana na sababu mbali mbali hukufanikisha haliandikwi kabisa yaani halina hukumu. Na kama ukifanya jema moja inachukuliwa kama umefanya mara 10 katika hesabu na kama ulikuwa na nia kufanya jema lakini kutokana na sababu mbali mbali hukufanikisha unaandikiwa kama umefanya mara moja.

2. Mkuu, nakusahihisha kidogo sio kwanini kuwepo na hukumu? bali kwanini kuwepo na hesabu kwasababu hukumu ni adhabu au salama kuenda motoni au peponi. Mungu wetu amesema katika maandiko kwamba yeye ni hakimu muadilifu, sasa asipoleta hiyo siku ya hukumu si itakuwa sio sawa. Hata wewe, iwe umekaa pahala umetulia halafu aje mtu akupige ngumi bila ya sababu yoyote si lazima utamrudishia halafu utasema kwanini umenipiga? Lazima utahitaji kufahamu kosa lako ni lipi? Sasa na Yeye huyo mungu anahitaji kumpa mtu hesabu yake ili afahamu mwenyewe kwanini ameingia kwenye moto au mbinguni na watu wengine wapate kushuhudia. Na wale walio kuwa wakipinga huku duniani kama hakuna hesabu wala mungu wamuone huyo mungu mwenye akiwalipa. Kuwepo hesabu haina maana mungu hafahamu yupi ataenda motoni na yupi haendi. Na ndio mjuzi zaidi
asante kwa mafunzo yako nimepata kitu,,,,ila bado sijaridhikakidogo
 
asante kaka ila nahisi pia humu wapo watu serious ,,,
Serious wengi hawaandiki tena kwa sababu JF imebadilika sana. wachache wanaoandika wanamezwa na "Millitant Pumbalizers". Unaweza soma huu uzi ukaona mwenyewe. Ila kama unadhani unaweza chukua hayo maoni, chaguo ni lako!
 
Serious wengi hawaandiki tena kwa sababu JF imebadilika sana. wachache wanaoandika wanamezwa na "Millitant Pumbalizers". Unaweza soma huu uzi ukaona mwenyewe. Ila kama unadhani unaweza chukua hayo maoni, chaguo ni lako!
ni kweli mkuu ila si kwamba kila jibu nitalichukua, mengine ninapuuzia tu
 
Mwenyezi Mungu haizurumu Nafsi ya mtu wala watu hawahukumiwa isipokuwa baada ya kufikishiwa ujumbe.Mungu anakua tusiyoyajua wala hana haja yakuuliza wewe ulifanya nini sababu habar zote anazo.Mwenyezi mungu anadil na moyo huo ndio unabainisha nini dhamira yako.
 
mkuu hongera sana kwa swali lako japo lina utata na wengi huenda chaka kwa kufuata mafundisho ya vitabu vya dini..


Kwanza kabsa naomba nikujulishe kuwa ,katika ulimwengu unaoishi kuna layer nyingi sana zinazoruhusu life proliferation( muendelezo wa maisha) kulingina na concious awareness ya kiumbe atakayokufa akiwa nayo..

Siku nikipata muda nitatolea ufafanuzi juu ya parallel universe na zina kazi zake katika kuruhusu maisha yaendelee..

Kwanza kabsaa naomba nikuambie tu kuwa once a soul is created and formed,it can not be destroyed but it is transformed from one parallel universe to another ( nafsi yako inayohusiana na kubeba ufahamu wako ikishaubwa na kuruhusiwa kuja hapa duniani,hauliwezi kamwe kuharibiwa lakini itahamishwa makazi tofauti kutokana na ufahamu iliyopata kuujua hui ulimwengu ulivyo)

This is a great mystery...ni wachache wanalijua hilo..

Hivyo basi katika ulimwengu huu unaoishi ,kuna limwengu zingine nyingi tu ambazo zinaruhusu maisha ya nafsi na roho kuishi kulingana na uwezo ( concious awareness nafsi imepata kujua jinsi nature ilivyo)

Sisi binadamu tunaonana kwa sababu tunaoccupy two presences( uwepo wa soul form na body form) ,.

Hivyo ukifa roho yako na mwili wako hutengana ndipo rohoyako kuruhusiwa kuingia kweny universe yenye parallel flani ambayo inaruhusu soul(nafsi au awarenesa zenye level flani ya ufahamu)
Ikumbukwe kuwa kila concious awareness flani ina makazi yake( parallel universe flani) kulingina na concious awereness uliyopata kujua kabla hujafa.

unapozaliwa na kuanza kukua unakuwa unaona au unapersive vitu katika 2D( two dimension awareness) ila kadri unavyokua unaingia kwenye 3D na hapa ndi mwanadamu anakuwa na uwezo wa kuanza kutambua mazingira( manake nini wewe unaesoma hii thread upo katika 3D awareness)

ukifa tayari roho yako yenye subconcious form in nature inashift to another plane( universe nyingine yenye dimesion kubwa zaidi)

ukiwa kwenye dimension kubwa tayari unakuwa umeachana na plane moja ya universe na kuingia another plane of reality depending with your subconcious awareness uliotoka nao huko.
.
View attachment 864464
kwa hiyo ukifa unaingia kwenye higher dimensions of life form na kila plane of reality inahabour roho zenye conciousness flani ziliyotoka nayo huko duniani kwenye 3D ( three dimension awareness).
View attachment 864472

Hivyo basi kabla hujafa unapaswa kuwa umefikia level flani ya conciousness awareness ambayo itakufanya uweze kuingia kwenye plane ambayo ni more advanced than uliyokuwa nayo...hapa ndipo ule usemi unaosema kuwa when you attain knowlege ,you get awareness and this awareness will determine your life plane soon after death..

kwa hiyo maisha baada ya kifo yanaendelea kulingana na knowlege uliyotoka nayo..

Kuna watu wanawadanganya wengine kuwa eti ukifa au tukifa wote tunakuwa sawa,...no no no big no..kama ni hivo kina Billgate na Jeff bezos wasingekuwa bize kukusanya pesa na uelewa wa jinsi dunia ilivyo..

ifahamike kuwa mwenye pesa tayari anakuwa na access ya kujua jinsi ulimwengu ulivyo hence anakuwa na knowlege ya kutosha ya kumfanya aingie kwenye kwenye 5D before hata hajafa kitu ambacho kitamfanya atakapokufa atakuwa kwenye another higher level of dimensions kuliko mimi na wew Nampulilampi
Hivyo ni jukumu lako hasa kutafuta knowlege kubwa au uongeze maarifa juu ya jinsi ulimwengu ulivyo kwani ni faida kwako badae..
View attachment 864496

Unavyoona utofauti wa maisha huku duniani ndivyo ilivyo katika higher life dimensions baada ya kufa..usione wenye pesa wanazidi kununua ufahamu zaidi jinsi dunia au ulimwengu ulivyo halafu wew ukawadharau na kusema wote tutakufa..
by the way there is no death kama unavofikilia just transformation ya recognition katika awareness yako ambapo roho inaingia katika another level of dimensions baada ya kuachana na mwili..

View attachment 864497

kwa hiyo maisha baada ya kifo ni mwendelezo wa awareness uliyotoka nayo kuku duniani..

sisi tunaonana kwa sababu tupo tunaview things katika mfumo wa 2D au 3D hivyo utakapokuwa na uwezo wa kuanza kuview things katika 5D au 8D hakika utakakuwa unaona species au creatures katika mfumo wa hali ya juu katika maono makubwa kabsa( na viumbe watakuwa wamegawanyika matika makundi tofauti tofauti depending na aina ya awareness muliyotoka nayo before death...

mfano mzuri ni uwepo wa Ghost Hitch hiker (mizimu inayotembea au kuwatokea watu) katika maisha yetu..mara nyingi mtu akifa anashift katika another plane of reality na huko anakuwa amekwenda anakuwa under guided by universal laws zinazoguide roho au mtu kuwa katika level ile na haiwezi kukuruhusu urudi tena duniani ( ndo mana mtu akifa amekufa,) ..there is no turning back unless it is hoax...
Kwa mujibu wa maelezo yako mazuri mkuu ni kwamba HAKUNA KUFA. Swali langu ni je! inawezekana hata hapa tulipo ni tumehama kutoka universe nyingine kuja hapa duniani?. Yawezekana hapa tulishakufa huko kwingine tukahamia huku ila ni vile hatukuwa na CONSCIOUS ya kutosha ndo maana tunaishi maisha ya shuruba na kula kwa jasho wakati wenye CONSCIOUS kubwa wanakula maisha.. Asante sana
 
Kwa mujibu wa maelezo yako mazuri mkuu ni kwamba HAKUNA KUFA. Swali langu ni je! inawezekana hata hapa tulipo ni tumehama kutoka universe nyingine kuja hapa duniani?. Yawezekana hapa tulishakufa huko kwingine tukahamia huku ila ni vile hatukuwa na CONSCIOUS ya kutosha ndo maana tunaishi maisha ya shuruba na kula kwa jasho wakati wenye CONSCIOUS kubwa wanakula maisha.. Asante sana

Life never end.....

Kila siku tuna upgrade from lower conscious level to higher dimension state of entity..

So sisi sote tumetoka kwenye lower dimension form yenye aina flani ya body form ya kuexist..

ulimwenguu huu tunauishi unaruhusu souls( nafsi) zetu kuexist katika bodly form( avator) ..

Yani ili nafsi yako iweze kuexist katika 3 dimension universe hii ni lazima iwe na umbo la mtu ( Avator) la sivyo haitaweza kujiexpress na kupata full awareness ya namna ya kuinteract na mazingira yanayozunguka..

Ni somo pana kidgo hapa ..
You need to learn and read more books zinazoelezea conscious and subconscious mind ..
 
habari zenu

Nina maswali ambayo kwa uwezo wa fikra zangu nimeshindwa kuyapatia jibu ,nimeamua kuyaleta kwenu najua siwezi kukosa jibu, maswali yanahusiana na imani zaid

NOTE: usilete utani tupo apa kusaidiana

1:Kwa mujibu wa imani zetu tunafundishwa kwamba siku ya mwisho baada ya ukumu wenye dhambi wanakwenda motoni na wasio na dhambi wanakwenda mbinguni

swali: Mababu zetu waliokufa zamani kabla dini hazijaja na hawakuwa na mafunzo yoyote kuhusu Mungu tunaemwabudu je wao watahukumiwa au lah?

2: Dini zetu zinatuimanisha kuwa Mungu wetu anauwezo mkubwa kiasi kwamba anatufahamu sisi kabla hatujazaliwa, maisha yetu na hata kufa kwetu.

Swali: Kwa uwezo alionao Mungu wetu ni dhahiri kuwa anajua yupi atakwenda motoni na yupi ni wambinguni kama ndio ivo kwanini kuwepo na hukumu? na kama hajui yupi atakwenda motoni na yupi atakwenda mbinguni inamaana Mungu wetu ni dhaifu kiasi kwamba kunavitu havijui?

Maswali bado ni mengi ila nimeamua kuuliza kwanza machache ili nisje changanya wanaojibu
Hakuna maisha baada ya kifo, umeshesema baada ya kifo, sasa maisha yatakuwepo kwa vipi tena? Maisha au Living is about activities of living body while interacting with other living creatures in lively hood. This end at the time life is taken from the body. Mimi sio muumini wa dini, dini ni imani, na imani hata iwe karibu na ukweli kiasi gani haitoshi kuwa ni KWELI. Swala hukumu ni za kutunga tuu, our trueself does exist beyong the time and space far beyong living (maisha) hence there will be no time or a place for judgment to take place. For as is to be not to live, what is living is our body and mind that accumulate living memories and had beginning and and End, our trueself let as to be. Kifo kinatenganisha Mwili, akili na Roho, panakosekana akili na mwili hakuna muda wala nafasi, sasa kama hakutawepo na muda na nafasi (mahali) hiyo hukumu itakuweko vipi kwani ni ya kufikirika zaidi kuriko hali ya kuwa (To be).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Life never end.....

Kila siku tuna upgrade from lower conscious level to higher dimension state of entity..

So sisi sote tumetoka kwenye lower dimension form yenye aina flani ya body form ya kuexist..

ulimwenguu huu tunauishi unaruhusu souls( nafsi) zetu kuexist katika bodly form( avator) ..

Yani ili nafsi yako iweze kuexist katika 3 dimension universe hii ni lazima iwe na umbo la mtu ( Avator) la sivyo haitaweza kujiexpress na kupata full awareness ya namna ya kuinteract na mazingira yanayozunguka..

Ni somo pana kidgo hapa ..
You need to learn and read more books zinazoelezea conscious and subconscious mind ..
Thanks sana mkuu, honestly am interested na hii elimu. Am a book worm, and as a new pupil in this field I ask you a favor, Have me some books recommendation to start with. ASANTE SANA
 
Hakuna maisha baada ya kifo, umeshesema baada ya kifo, sasa maisha yatakuwepo kwa vipi tena? Maisha au Living is about activities of living body while interacting with other living creatures in lively hood. This end at the time life is taken from the body. Mimi sio muumini wa dini, dini ni imani, na imani hata iwe karibu na ukweli kiasi gani haitoshi kuwa ni KWELI. Swala hukumu ni za kutunga tuu, our trueself does exist beyong the time and space far beyong living (maisha) hence there will be no time or a place for judgment to take place. For as is to be not to live, what is living is our body and mind that accumulate living memories and had beginning and and End, our trueself let as to be. Kifo kinatenganisha Mwili, akili na Roho, panakosekana akili na mwili hakuna muda wala nafasi, sasa kama hakutawepo na muda na nafasi (mahali) hiyo hukumu itakuweko vipi kwani ni ya kufikirika zaidi kuriko hali ya kuwa (To be).

Sent using Jamii Forums mobile app
Kifo kinatenganisha Mwili, akili na Roho
sasa hapo kwenye roho kwasababu najua mwili utazikwa na utaoza vip kuhusu roho itakuwa wap
 
Thanks sana mkuu, honestly am interested na hii elimu. Am a book worm, and as a new pupil in this field I ask you a favor, Have me some books recommendation to start with. ASANTE SANA

mind reality pdf kitafute hicho kitabu kitakusaidia sana .. sikumbuki nilikiweka wapi kwenye makablasha yangu but its one of the most book kubadili fikra zako juu ya ulichokuwa unaamini
 
Back
Top Bottom