Ndugu unaonesha una upungufu mkubwa sana wa kufikiri (poor thinking capacity) siku nyingine nakushauri usiwe bingwa wa kudandia hoja......Kajifunze kwanza unadhalilisha jukwaa letu.
Nimelazimika kuchangia uzi huu, dada ni vema ukacheki bank statement ili upate taarifa rasmi juu ya balances ilizozikuta.... huenda ni misposting kama mdau mmoja alivyoshauri, me nafanya kazi bank nina uzoefu na vituvya namna hii kwani mabenki pia yanaajiri watumishi wapya na tella anaweza...
Tena kwa wasichana wa siku hizi akipata mtu mwenye fedha zake wala hajiulizi mara mbili kwa mazingira aliyojieleza ni wazi anatughiribu tuegemee upande wake. Binti jiheshimu tafuta kijana mwenzio. Hebu vaa viatu vya huyo binti yake ambaye unadai ni best yako; fanya hayo anayafanya baba yako...
Wakina Nape wanaona noma kusimama majukwaani kuhofia kutoungwa mkono na majority so wanawatumia polisi wao kudhibiti kundi la watu ambao hawana nia mbaya kwa jamii. Mimi nasema mwisho wa ubaya ni aibu, CCM watavuna walihokipanda ifikapo 2015 nadhani wananchi wana nafasi kubwa ya kulipa kisasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.