Eiyer kuna watu hawatakuelewa humu............... I bet
Ukweli ni kwamba binadamu tuwanafiki sana kuna watu humu hadharani husema katu, lakini sirini hufanya kweli. Mara nyingi nawaona watu humu wakibisha juu ya jambo fulani huku wakitoa povu kinywani kwamba haiwezekani, lakini bahati nzuri huja waungwana na kukiri kwamba jambo hili limeshawahi kuwatokea...... Sasa mnabisha kitu gani. Mapenzi ni kitu kingine kabisa kuna watu hufanya mambo ya ajabu kabisa wakiwa chumbani na wenzi wao, lakini wakiulizwa utawasikia "Akuu over my dead body" Nyoo acheni unafiki bana........................LOL
Yaani sweetie, nimecheka mpaka machozi. Maana katika vituko vyako vya huko mabatini ya leo kali; sasa ulimshaurije?
Eiyer kuna watu hawatakuelewa humu............... I bet
Ukweli ni kwamba binadamu tuwanafiki sana kuna watu humu hadharani husema katu, lakini sirini hufanya kweli. Mara nyingi nawaona watu humu wakibisha juu ya jambo fulani huku wakitoa povu kinywani kwamba haiwezekani, lakini bahati nzuri huja waungwana na kukiri kwamba jambo hili limeshawahi kuwatokea...... Sasa mnabisha kitu gani. Mapenzi ni kitu kingine kabisa kuna watu hufanya mambo ya ajabu kabisa wakiwa chumbani na wenzi wao, lakini wakiulizwa utawasikia "Akuu over my dead body" Nyoo acheni unafiki bana........................LOL