Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,711
- 4,642
Kwa nini ufungaji wa maeneo ya wazi yaendane na utoaji humuku kwenye kesi ya Mhe Lema jijini Arusha??????????
Ni kitu gani hiki kama si uchokozi wa wazi kwa umma wa Tanzania??.?????? Nadhani sasa kila mtu anaona jinsi gani serikali ya CCM inavyojibidisha kutengeneza mazingira mapya ya kupata sababu ya KUUA TENA RAIA WA NCHI HII?
kamanda wa mkoa(RPC) akiuwa anapandishwa cheo kwenda makao makuu,eg RPC Kamuhanda anaandaliwa nafasi pale makao makuu,source majira newspaper