Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Mkuu kwa hii picha, Jinsi jamaa alivyo na sura ya hovyo kama meno na maneno yake, itabidi ni i print ili watoto wangu wakianzia kulia niwatishie kwa picha ili wanyamaze.
Ndiye huyu hapa, picha yake haitofautiani sana na maneno yake!
du, sasa nimeamini kuwa nastahili kuwa na digree moja tu, kuwa dr halafu unaishia kubaki kutokufahamu unafanya nini ni kitu cha ovyo kabisa, walisema wenyewe vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, wakasema tena vyama upinzani havipo vijijini, CHaDEMa wameamua kufanya kazi tafiti za hao wanaojiita madocta wakabadilika na kuwa cha hai kinachofanya siasa muda wote na kufungua ofisi kila kijiji mfano lindi na mtwara du kufika moro jamaa wameananza kuua watu, nalia namkumbuka Prof, Chachage ........daah namkumbuka pro. wa ukweli. kwake yeye chepe lilikuwa chepe tuu.R.I.P SEITH.KWELI UMETUACHIA MAKUADI WA SOKO HURIA. Viaondoka vichwa yanaachwa makombamwiko puuuuuh
Na Datus Boniface
Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Benson Bana amevijia juu vyama vya siasa na kukosoa kauli mbiu zao ikiwemo ya Movement for Change (M4C), inayotumiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo na V4C ambayo inatumiwa na chama cha Wananchi CUF, kuwa siyo wakati wake kwa sasa.
Hivyo,waiache serikali iliyoko madarakani chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutekeleza ahadi na ilani zake kwa Wananchi.
Dk. Bana alisema hayo jijini Dar es Salaam leo katika semina ya siku moja yenye kujadili masuala ya Sheria kwa vyama vya siasa iliyoandaliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
M4C siyo wa halali siyo wakati wake kwa sasa, kama kila chama kitakuja na Kauli Mbiu yake itaipeleka nchi pabaya, Wananchi wana matatizo mengi ambayo yanahitaji kufanyiwa kazi kwa sasa badala ya mikutano inayofanywa na vyama vya siasa alisema.
Kwa mujibu wa kauli yake, Kauli Mbiu hizo zina wakati wake ikiwemo kipindi cha kampeni za uchaguzi.
Alienda mbali zaidi na kuwataka viongozi wa vyama hivyo kuiacha serikali itekeleze ahadi zake kwa uhuru na amani.
Ndiye huyu hapa, picha yake haitofautiani sana na maneno yake!
na kutotekeleza hizo ahadi kwa kasi inayostahili kunakipa CDM kazi ya kuwafafanulia wananchi hayo na hiyo ndio siasa, na ndio maana CCM hawataki hilo kwa kuwa udhaifu wao unazidi kuwekwa hadharani!Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu 2010 ni takribani miaka 2 lakini serikali ya ccm haijatekeleza japo asilimia 10% ya ahadi zake. M4C ya Chadema na hiyo V4C ya cuf hazijaizuia ccm kutekeleza ahadi zake. Vyama vya siasa vitafanya kazi zao sambamba na serikali ikitekeleza mipango yake. Kama wameshindwa majukumu yao wasitafute kisingizio cha M4C ama V4C.
Kama vipi ccm na serikali yake waanzishe Manifesto 4 Completion.
wakala wa CCM
du, sasa nimeamini kuwa nastahili kuwa na digree moja tu, kuwa dr halafu unaishia kubaki kutokufahamu unafanya nini ni kitu cha ovyo kabisa, walisema wenyewe vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, wakasema tena vyama upinzani havipo vijijini, CHaDEMa wameamua kufanya kazi tafiti za hao wanaojiita madocta wakabadilika na kuwa cha hai kinachofanya siasa muda wote na kufungua ofisi kila kijiji mfano lindi na mtwara du kufika moro jamaa wameananza kuua watu, nalia namkumbuka Prof, Chachage ........daah namkumbuka pro. wa ukweli. kwake yeye chepe lilikuwa chepe tuu.R.I.P SEITH.KWELI UMETUACHIA MAKUADI WA SOKO HURIA. Viaondoka vichwa yanaachwa makombamwiko puuuuuh
the best swahili novel,
pia usimsahau prof Haroub Othman,kuna siku SHIVJ ALISOMA SHAIRI PALE UDSM AKASEMA KWANINI WANAKUFA WATU WAZURI AMBAO BADO WANAHITAJIKA???
Huyu kada bado ana matumaini ya kupewa ukuu wa wilaya maana ana kera mno
hakika kazi wameifanya kutuelimishathe best swahili novel,
pia usimsahau prof Haroub Othman,kuna siku SHIVJ ALISOMA SHAIRI PALE UDSM AKASEMA KWANINI WANAKUFA WATU WAZURI AMBAO BADO WANAHITAJIKA???
kupumzika ni muhimu katika haya maisha
mwache Bana aharibu maana mapema atasahaulika
daima tutawaenzi walimu waliotukuka
walikuwa na madhaifu lakini bana unapitiliza
RIP chachange na othman daima tutawakumbuka!
M4C siyo wa halali siyo wakati wake kwa sasa, kama kila chama kitakuja na Kauli Mbiu yake itaipeleka nchi pabaya, Wananchi wana matatizo mengi ambayo yanahitaji kufanyiwa kazi kwa sasa badala ya mikutano inayofanywa na vyama vya siasa alisema.